Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uhasibu flyover
06A0C442-414F-4CF6-95C0-B5578890468C.jpeg
 
Huwa mko na victim-mentality sana. Hamjatoa facts au evidence kuonyesha kwamba most of the Avocados exported by Kenya came from Tanzania. Wakenya wanapanda parachichi kwa wingi. Leteni facts zenu kwamba tunanunua kutoka kwenu. Mimi nasema asilimia ndogo sana pengine chini ya 20% ndio pengine tunanunua kutoka kwenu. Mengine tunapanda wenyewe.
Evidence yangu ndio hii hapa. Leteni yenu kuonyesha kwamba tunanunua kutoka kwenu.
Sijakataa kuwa mnalima maparachini ila siyo kama Tanzania, mengi mnanunua kwetu. Subiria mwakani kwenye takwimu mpya, hata Tanzanite mlikuwa namba mbili duniani lakini sasa hamuonekani tena kwenye chati.
 
Hii itaisha sawa na ile ya Chang'ombe, yn cku hz mwendo wa flyover mbili mbili mpk ziishe zote 11 ambazo ni modern co tofali like flyovers
Expressway sio tofali na ni 27 km ambayo 13 km ya juu kwa juu. Hamtawahi kuja kuwa na barabara kama hio zaidi ya kuitazama kwenye TV.
 
Sijakataa kuwa mnalima maparachini ila siyo kama Tanzania, mengi mnanunua kwetu. Subiria mwakani kwenye takwimu mpya, hata Tanzanite mlikuwa namba mbili duniani lakini sasa hauonekani tena kwenye chati.
umemaliza mkuu basi,,,,

yaani kulingana na reason yake kwa huo mwiba wa chuma umempigilia ipasavyo inatosha....
 
Kwahiyo mmekubali au sio gari ndogo kupita ni Tshs 6600 na gari kubwa ni Tshs 35200, Watz mnaona maisha ya sasa ya Wakenya?
For your info Trela haitakiwi sana kupita maeneo haya kwa sababu mbili. Kwanza Trela zinaharibu barabara na kufanya maintenance cost kuwa juu. Pili Trela kwanza zilizobeba mizigo zinakwenda kwa mwendo wa mzee kobe. Yaani pole pole na unajua kwenye expressway gari zinastahili kusonga kwa mwendo wa kasi ili zisizuie gari zingine kupita. Lazima zichargiwe pesa nyingi. Lorry zimejengewa barabara mbadala ya kupitia. Zinaweza kupitia Bypasses
 
Back
Top Bottom