Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa mkondo wa capitalism mlio chukua, and with the bigger populace having weak mental frame hawawezi kufikiria zaidi ya pua , it is a recipe' for extreme poverty numbers, as economy grows, the more poor people will suffer, unless software ndani ya vichwa vyenyu vibadilishwe, ata mkijenga SGR mia, na flyovers elfu, na vigorofa, bado haitakomboa mtanzania wa kawaida, ni wajanja tu wataomoka, na kuwafanya wanyonge kama wewe vijakazi na malipo duni. Capitalism ni ya mwenye nguvu, mvivu na hafifu(the middle name of most Tanzanians) hana lake hapa., the reason licha ya kukua kwa uchumi wenu, in 2020 report from data ya 2019/2020 world bank, umasikini wa kutupwa uliongezeka, mkaipiku Ethiopia walio beba huo ubingwa kwa miaka mingi. Think seriously, and reason, wacha ushabiki...

View attachment 1718003
We popo bawa umeandika insha ndefu Ila ukweli unabakia pale pale polee Sana🙂
Nyie ni failed state najua inaumiza kuona speed Tanzania inakuja nayo ilihali nyie na walevi wenzako mmebakiaga mkisubiria ahadi za jubilee🙂mtanyooka safari hii Tanzania inasonga mbele na inazidi Kua imara kila kukicha 🙂
 
Looks like Burundi googles Rwanda View attachment 1718029
Weka source mbn hamuweki, mnajifariji kwa upumbavu, nani awa Google nyie failed state yn wasisumbuke kui Google Tz inayowapa chakula wai Google nchi ya njaa.

Mtake msitake Tz ndio habari ya mjini kwa sasa hapa Afrika cz we are unique.
 
IMG_5978.jpg
 
Hebu tafsiri wewe
Umeona sasa ulivyokua pumba, kamtafute aliyeelimika akufafanunulie we mmenguaji..
Unafikiria hvyo vitabu aya zake ni sawa na kusoma na kusoma kitabu cha prof.lumumba huku unajitafsiria maandishi unavyotaka
 
Weka source mbn hamuweki, mnajifariji kwa upumbavu, nani awa Google nyie failed state yn wasisumbuke kui Google Tz inayowapa chakula wai Google nchi ya njaa.

Mtake msitake Tz ndio habari ya mjini kwa sasa hapa Afrika cz we are unique.
Nenda kafukiwe wewe
 
nini unachojua wewe manga wa ghetto life!!!

kwamba usali na ung'ang'ane,umesali ili uweke kitu gani.
Andika barua ya kuacha kazi ubaki nyumbani we mzee wa imani alafu uone km yule pastor wako ataacha kibarua chake
 
walisheni watu wenu kwanza au munasubiri misaada kutoka kwenye nchi za kiarabu ambazo ni jangwa asilimia 100
Umetafuta njaa turkana mwaka jana yote ukashindwa, naona sasa drought imekusaidia na hku kwngine..
Umeumbuka mzee baba
 
Wewe kafunue tacko uchomwe sindano acha kutupipigia kelele, huelewi chochote kuhusu vaccines.
Mpeleke mkeo akadungwe sindano za kupanga uzazi, kwanza kale katoto kako kachanga kanahitaji chanjo ya polio fanya hima apate wapate hzo chanjo mzee baba utachelewa..

We pia usisahau km nduguzo hapo danzagiza wanategemea sana ARVs
 
Shida co chanjo bali shida ni uaminifu, tunasubiri mfanyiwe majaribio zen ndo tuiamini mbn cmpo tu, hiyo chanjo ya polio ipo kwa takribani miaka 50 tunaiamini ila covid bado tunasubiri mrejesho kutoka Kenya.
Hata polio kuna wengine walidharau hvo hvo sai wako wapi, chanjo ya matende sai wako wapi...

Narudia tena, we ukisusa wenzako wanabeba
 
Back
Top Bottom