chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 12,053
- 34,925
Ukweli mchungu
Hii maneno haiishi ama?Kimara- Kibaha updateView attachment 1716449
Khaaaa 🙄🙄🙄 🙄Huwa sipendi kuonyesha Vitu vyangu ila kwa kuwa mmetaka nawaonyesha, siku nyingine mkitaka niwaonyeshe hata ukucha wangu hamtakaa kupata kuuona
By BWANA MAPESA.
View attachment 1716409
View attachment 1716410
View attachment 1716411
Huwa sipendi kuonyesha Vitu vyangu ila kwa kuwa mmetaka nawaonyesha, siku nyingine mkitaka niwaonyeshe hata ukucha wangu hamtakaa kupata kuuona
By BWANA MAPESA.
View attachment 1716409
View attachment 1716410
View attachment 1716411
Kwa hiyo muache ujinga wenu wa kumsingizia kwamba alikataza Barakoa. Kweli Corona ilikwisha Tanzania baada ya " first wave of infections, sasa hivi hili ni "second wave" soon we are going to defeat it like we defeated the first wave, Tanzania sio failed stateMagu aliwaambia kwamba "corona haipo Tanzania." Sasa mngeendelea kuvaa mask ya nini? Msemo wake kwamba corona haipo meant the end of face mask wearing, just like it did other measures.
Ni juzi tu aliwaambia muanze kuvaa mask baada ya kirusi kuwashika sehemu nyeti na kufululiza hadi ikulu kule Zanzibar.
Hayo mambo ya chanjo sijayaongelea mie
Dola ngapi hzo mkuuHuwa sipendi kuonyesha Vitu vyangu ila kwa kuwa mmetaka nawaonyesha, siku nyingine mkitaka niwaonyeshe hata ukucha wangu hamtakaa kupata kuuona
By BWANA MAPESA.
View attachment 1716409
View attachment 1716410
View attachment 1716411
Ona huyu ghasiaUmenifanya niingie online
Kenya ipi unaizungumzia?
Unadhani wote humu hawaijui Kenya?, hadi wakenya watakushangaa... Kenya wanashifirika moja la umeme kama Tanesco.
Wakenya gani wanajenga nyumba zao. .
Wakenya asilimia 70 na zaidi hawezi kumudu kujenga nyumba zao... Wanakaa kwenye yale magorofa ambayo kodi yake ni 5K.
Kwa taarifa yako gharama ya umeme Tanzania ni nafuu kuliko Kenya.
Pia Umeme Kenya unakatika kuliko Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Enheee!!ilikua wasemaje mzee baba, zote nilizopost umeona hzo tu siowakenya muache wizi dah hizi nyumba zipo kigamboni gezaulole huyu mtu komora096 anasema nyumba za kuishi watu wakawaida kenya View attachment 1715914
Nimemwambia alete kifungu tusome wote, anafikiri hatujui bibliaHakuna kitu kama hicho ulichoandika,uhaba wa imani yako usisahabishe utengeneze theories zako ambazo hazipo.
mtaji unaohitakika kwenye maombi ni imani tu,wala sio juhudi zako.