Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe c umesema Magu katuambia tuvae barakoa na tuzingatie social distancing? Ss mbn tena unasema serikali inatuongopea au hizo co measures required?
Corona ilianza lini and when did Magu say muanze kuvaa barakoa?
 
Hii mbn amekuwa akiisema tangu first wave of coronavirus kwamba kama mtu atataka kuvaa mask hajakatazwa ila avae za kutengeneza mwenyewe.
Ulisema niweke evidence kwamba Magu aliwaambia muanze kuvaa mask. I thought that's what you asked me to do and I have done. Kama unajua aliwaambia muvae mask kutoka kitambo why then were you asking me for evidence wakati habari unayo already? You are a petty and stubborn person. No wonder corona inawaua hadi ikuluni

Eti aliwaambia mujitengenezee masks nyinyi wenyewe!! 😂 😂 😂 😂
Hapo wacha tu nicheke. After all, it's Tanzania, nchi ya viwonder
 
Mimi wanachonifurahisha Wakenya ni ku admit penye upungufu ila mataga sasa ni shida.But kitu kizuri kwao ni ishu ya mipango miji yaani inaonyesha wamestaarabika na wameendelea,Tzn sasa is like no one biznec au shamba la bibi.

Ukiangalia tuu miji yao huhitaji kujiuliza mara mbil mbili kwamba waliendelea kitambo,imagine eti 2021 ndio tunazindua interchange na kujisifu wakati hao jamaa ziko hadi kwenye miji mingi ya kati

leta hizo interchange za nairobi tano(5) tu za maana ukiacha zile fensi zenye barabara juu
 
Mkuu inabidi uwe muelewa alisema

"mkitaka kuvaa barakoa vaeni ila vaeni mlizo jitengenezea wenyewe kwakua izo zinazotoka nje haziaminiki. Hakutoa tamko kwamba lazima mvae barakoa bali kama ukitaka kutumia barakoa utumie kujikinga amna anae kukataza"
Tatizo anatumia blogs za mabwana zao zinazopotosha badala atafute videos clips za JPM akiwa anazungumza.
 
Mkuu inabidi uwe muelewa alisema

"mkitaka kuvaa barakoa vaeni ila vaeni mlizo jitengenezea wenyewe kwakua izo zinazotoka nje haziaminiki. Hakutoa tamko kwamba lazima mvae barakoa bali kama ukitaka kutumia barakoa utumie kujikinga amna anae kukataza"
Mnazidi kuchekesha kila kuchao. Yani unaamini tu kabisa kwamba mask ni kitu ya kujitengenezea hapo kwako nyumbani na ukitumie kujikinga nayo!? I don't mean to be disrespectful but huu ni uazimu. Face masks should be made by certified bodies and should be subjected to stringent quality checks before they are realised for human use.

Masks should meet certain specifications ambazo wewe hapo huwezani nazo. A good quality face mask should have at least two layers of tightly woven cotton fabric. Hiyo cotton utatoa wapi hapo nyumbani kwako? And do you have the machine to weave it?

Secondly, a good mask should have a filter to provide an extra layer of protection. How will you go about this ukijitengenezea yako hapo kwako?

Hivi ndivyo mlidanganywa kwamba corona haipo Tanzania. Sasa hivi mnadanganywa kwamba mjitengenezee barakoa nyumbani. Nawahurumia
 
Umenifanya niingie online
Kenya ipi unaizungumzia?

Unadhani wote humu hawaijui Kenya?, hadi wakenya watakushangaa... Kenya wanashifirika moja la umeme kama Tanesco.

Wakenya gani wanajenga nyumba zao. .

Wakenya asilimia 70 na zaidi hawezi kumudu kujenga nyumba zao... Wanakaa kwenye yale magorofa ambayo kodi yake ni 5K.

Kwa taarifa yako gharama ya umeme Tanzania ni nafuu kuliko Kenya.

Pia Umeme Kenya unakatika kuliko Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
huyo achana naye alilopoka vitu asivyovijua
 
Ulisema niweke evidence kwamba Magu aliwaambia muanze kuvaa mask. I thought that's what you asked me to do and I have done. Kama unajua aliwaambia muvae mask kutoka kitambo why then were you asking me for evidence wakati habari unayo already? You are a petty and stubborn person. No wonder corona inawaua hadi ikuluni

Eti aliwaambia mujitengenezee masks nyinyi wenyewe!!
Hapo wacha tu nicheke. After all, it's Tanzania, nchi ya viwonder
Ndiyo maana nikasema wewe ni wa kupuuzwa tu, Magu yeye mwenyewe na aliowateua hawavai barakoa, ss hyo ya Magu kutoamini kuhusu barakoa inahitaji qualifications? Nyie wakenya ni binadamu wapumbavu sn, nmekujibu nikakwambia hyo ya mheshimiwa kusema watu wajitengenezee barakoa ni tangu corona ya kwanza, ila kwa kuwa nyie wakenya mna wivu na roho mby dhidi ya Tz na Rais wake basi mmeichukulia hiyo habari km Magu amewaambia raia wavae barakoa ili mjifurahishe kwamba Magu ameamua kuwaiga.

Yani mna upinzani wa kitoto sn, huku kwetu hatuvai barakoa na wala hakuna social distancing na kwa taarifa yako tu ni kwamba story za corona huku hatuna kabisa cz hatufanyagi siasa kwenye maisha ya watu km viongozi wenu wanavyowafanya wapumbavu.

My Take: Subiri vaccine za corona zikupasue pumbu uwe hanithi maanina
 
Mnazidi kuchekesha kila kuchao. Yani unaamini tu kabisa kwamba mask ni kitu ya kujitengenezea hapo kwako nyumbani na ukitumie kujikinga nayo!? I don't mean to be disrespectful but huu ni uazimu. Face masks should be made by certified bodies and should be subjected to stringent quality checks before they are realised for human use.

Masks should meet certain specifications ambazo wewe hapo huwezani nazo. A good quality face mask should have at least two layers of tightly woven cotton fabric. Hiyo cotton utatoa wapi hapo nyumbani kwako? And do you have the machine to weave it?

Secondly, a good mask should have a filter to provide an extra layer of protection. How will you go about this ukijitengenezea yako hapo kwako?

Hivi ndivyo mlidanganywa kwamba corona haipo Tanzania. Sasa hivi mnadanganywa kwamba mjitengenezee barakoa nyumbani. Nawahurumia
Subiri covid vaccine
 
Mnazidi kuchekesha kila kuchao. Yani unaamini tu kabisa kwamba mask ni kitu ya kujitengenezea hapo kwako nyumbani na ukitumie kujikinga nayo!? I don't mean to be disrespectful but huu ni uazimu. Face masks should be made by certified bodies and should be subjected to stringent quality checks before they are realised for human use.

Masks should meet certain specifications ambazo wewe hapo huwezani nazo. A good quality face mask should have at least two layers of tightly woven cotton fabric. Hiyo cotton utatoa wapi hapo nyumbani kwako? And do you have the machine to weave it?

Secondly, a good mask should have a filter to provide an extra layer of protection. How will you go about this ukijitengenezea yako hapo kwako?

Hivi ndivyo mlidanganywa kwamba corona haipo Tanzania. Sasa hivi mnadanganywa kwamba mjitengenezee barakoa nyumbani. Nawahurumia
Apa naungana nawe
 
Ndiyo maana nikasema wewe ni wa kupuuzwa tu, Magu yeye mwenyewe na aliowateua hawavai barakoa, ss hyo ya Magu kutoamini kuhusu barakoa inahitaji qualifications? Nyie wakenya ni binadamu wapumbavu sn, nmekujibu nikakwambia hyo ya mheshimiwa kusema watu wajitengenezee barakoa ni tangu corona ya kwanza, ila kwa kuwa nyie wakenya mna wivu na roho mby dhidi ya Tz na Rais wake basi mmeichukulia hiyo habari km Magu amewaambia raia wavae barakoa ili mjifurahishe kwamba Magu ameamua kuwaiga.

Yani mna upinzani wa kitoto sn, huku kwetu hatuvai barakoa na wala hakuna social distancing na kwa taarifa yako tu ni kwamba story za corona huku hatuna kabisa cz hatufanyagi siasa kwenye maisha ya watu km viongozi wenu wanavyowafanya wapumbavu.

My Take: Subiri vaccine za corona zikupasue pumbu uwe hanithi maanina
Muulize mbona amehepa maswali na spana zilizomkaza

Amerukia kwenye zile anazozimudu!
 
a026b191-bb2f-43a4-9e20-6ae9ad3123a9.jpg
 
Ndiyo maana nikasema wewe ni wa kupuuzwa tu, Magu yeye mwenyewe na aliowateua hawavai barakoa, ss hyo ya Magu kutoamini kuhusu barakoa inahitaji qualifications? Nyie wakenya ni binadamu wapumbavu sn, nmekujibu nikakwambia hyo ya mheshimiwa kusema watu wajitengenezee barakoa ni tangu corona ya kwanza, ila kwa kuwa nyie wakenya mna wivu na roho mby dhidi ya Tz na Rais wake basi mmeichukulia hiyo habari km Magu amewaambia raia wavae barakoa ili mjifurahishe kwamba Magu ameamua kuwaiga.

Yani mna upinzani wa kitoto sn, huku kwetu hatuvai barakoa na wala hakuna social distancing na kwa taarifa yako tu ni kwamba story za corona huku hatuna kabisa cz hatufanyagi siasa kwenye maisha ya watu km viongozi wenu wanavyowafanya wapumbavu.

My Take: Subiri vaccine za corona zikupasue pumbu uwe hanithi maanina
Sasa mkivaa barakoa inamaanisha mnatuiga? 😂 😂 Mbona husemi mnaiga Uganda, Rwanda na nchi zingine zote duniani ambazo watu havaa mask? Na sisi basi tuliiga nani tulipoamua kuvaa mask?

Ulianza kwa kuuliza nikupe evidence kwamba Magu alisema muanze kuvaa mask. Baada ya kukuaibisha sasa umebadilisha gear unaongea mambo na kuiga!!
 
Back
Top Bottom