komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,646
Hoja kwishaaahuna lolote wakenya mmefulia,,,,,
usisahau kuchamba punde unapoingia toilet utoe harufu chafu za mwilini
Hoja kwishaaahuna lolote wakenya mmefulia,,,,,
usisahau kuchamba punde unapoingia toilet utoe harufu chafu za mwilini
sizijui labda unisaidie mkurungwaKwa hivyo ni magofu tu ama? Hebu taja hizo tano coz nakumbuka hata Kenya ziko tano pia
Kumbe watu bado hunywa Jameson na kupiga picha na kuanika mitandaoni! 😂 😂we ndiyo mshamba wa kutupwa ,,mi bado kijana damu inachemka bado na mda wa kuenjoy punde napopata mda....
kwenye kujiburudisha hakuna umri acha ushambai.....
blessed ni mwendo wa tungi mpaka jumapili....ujinyinge sasaView attachment 1712041
kuwa mpole mnyabi najua kuwa umefika na umetembea dunia nzima...Kenya vitu km hvyo ni vya kawaida sana siku hzi..
Wala hatushtuki, hizi picha sehemu zingine nazifahamu na nimeshawahi kufika..
Km hapoView attachment 1712040
Ndio namshangaa mimiKumbe watu bado hunywa Jameson na kupiga picha na kuanika mitandaoni!
kama koo linakuwasha linahitaji vyupa classic na hauna mkwanja ni bora ufumbe macho na ulake tu kuliko kulia lia hapa....Sasa unamtangazia nani
Watu wanapiga vitu chini ya maji, we unaanika hapa ndio ili uonekane na wewe unajua ku party..
Au una visenti vinakusumbua ndio ukaamua na wewe leo angalau uteremshe na kutangaza kabis aili watu wajue
Jamani Jameson iliishiwa ladha kitambo sana. Hii si iliachiwa watoto wa shule! Kumbe kule bongo bado ni big deal sana 😂 😂Ndio namshangaa mimi
Siku akinywa vitu vya watu wazima si atapost mpka insta huyu
kuna tungi mbali mbali tena za kutosha zinachukua almost 6 days ndiyo zaweza kuisha,,,kila mtu anakunywa kinywaji akipendachoKumbe watu bado hunywa Jameson na kupiga picha na kuanika mitandaoni!
Tanga ni size ya Mombasa baada ya Mwanza kuichapa Mombasa! EACOP is cementing this fair comparison!Fungueni thread ndio mkione..
Garissa vs tanga mjengo mmoja mmoja
The point is, taste yako ndio iko chini. Ingekuwa ni mimi wala hata singepiga picha hadi nipost!kuna tungi mbali mbali tena za kutosha zinachukua almost 6 days ndiyo zaweza kuisha,,,kila mtu anakunywa kinywaji akipendacho
Mwanza ilipiga Mombasa kwa lipi? Kwa idadi ya rocks ama?Tanga ni size ya Mombasa baada ya Mwanza kuichapa Mombasa! EACOP is cementing this fair comparison!
watu mnapovuka JF,,," hebu rudini kwenye battle msijipotezee mda watu tupo kwenye raha zetu,,,,yaani mmepoint kitu ambacho hata usichokijua...Ndio namshangaa mimi
Siku akinywa vitu vya watu wazima si atapost mpka insta huyu
ushafel mzee pambana na hali yako......Jamani Jameson iliishiwa ladha kitambo sana. Hii si iliachiwa watoto wa shule! Kumbe kule bongo bado ni big deal sana
Alafu hapo kando naona kitu inafanana na ile kinywaji chao wanachokienzi iitwayo Konyagi. Dah! Huyu jamaa bana!!
Hapa kabla ya Msalato airport haijajengwa!mdogo mdogo. R.I.P kenyaView attachment 1711994
ni wewe sasa unataka nifanane nawewe,,,,kila mtu anakula ama kunywa kile akipendachoThe point is, taste yako ndio iko chini. Ingekuwa ni mimi wala hata singepiga picha hadi nipost!
Mbona basi ukapiga picha kinywaji hutumii? 😂 😂watu mnapovuka JF,,," hebu rudini kwenye battle msijipotezee mda watu tupo kwenye raha zetu,,,,yaani mmepoint kitu ambacho hata usichokijua...
hujui kinywaji au vinywaji navyotumia,
wakati hapo nipo na kikosi cha watu wakutosha family & friends
tukijenga tuclise kabisa deal na hawa panya road wakikenyaHapa kabla ya Msalato airport haijajengwa!
Unachokipenda kilipitwa na wakati kitambo sana. Nashangaa wewe inakupa goosebumps! 😂 😂 Unafaa kwenda na wakati. Alafu cha ajabu unaipost humu ndani!!!ni wewe sasa unataka nifanane nawewe,,,,kila mtu anakula ama kunywa kile akipendacho
pole sana mazee
aliyekuambia kuwa picha nimepiga mimi ni nani....?...Mbona basi ukapiga picha kinywaji hutumii?
Kwa jinsi unavyojitetea umeaibika kweli.
sasa kama test yake haipandi unanilazimisha.....? ,,unampangua mtu kipi anyweUnachokipenda kilipitwa na wakati kitambo sana. Nashangaa wewe inakupa goosebumps! Unafaa kwenda na wakati. Alafu cha ajabu unaipost humu ndani!!!