Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

According to research nimegundua Dar ni mji zero kabisa katika real estate, nimeulizia malazy humu wanaishi wapi wote wakasepa. Kando na vigorofa vitatu, kariakoo kwa warabu na wahindi, ubungo ya msaada hakuna tofauti na Mogadishu.
njoo utembee utajua ,,usipende marudio maisha yanaenda mbele mzee
 
Wewe ni fala sana. Those are construction bulldozers that were initially working on the Tanzanian side and now is being transferred to Uganda to do another job. That's thing didn't pass through Dar is slum port. You make too much noise wakati Mombasa port alone imeshinda port ya Dar 3 times.
Lol
 
According to research nimegundua Dar ni mji zero kabisa katika real estate, nimeulizia malazy humu wanaishi wapi wote wakasepa. Kando na vigorofa vitatu, kariakoo kwa warabu na wahindi, ubungo ya msaada hakuna tofauti na Mogadishu.
Hahaha
 
hii bus terminal moja tu ilipofikia inazipiga SGR stations zote za kenya pamoja na airports zao zote kwa pamoja
IMG_1613988271.640344.jpg
IMG_1613988283.611111.jpg
IMG_1613988296.601202.jpg
 
hii bus terminal moja tu ilipofikia inazipiga SGR stations zote za kenya pamoja na airports zao zote kwa pamoja
View attachment 1709004View attachment 1709005View attachment 1709007
naangalia pembeni pembeni mwa picha hii naona umasikini ulio kithiri....yaani mnafanya mambo msio yaweza .eti kushindana na kenya ...kenya ilipiga hatua kitambo...na pesa tunazo kusanya kutoka kwa kodi ni kama mara tano ya tanzania.. twaambiwa usishindane na ndovu kunya ..msamba utaumia...ona sgr yao wamesgindwa kuimaliza...
 
naangalia pembeni pembeni mwa picha hii naona umasikini ulio kithiri....yaani mnafanya mambo msio yaweza .eti kushindana na kenya ...kenya ilipiga hatua kitambo...na pesa tunazo kusanya kutoka kwa kodi ni kama mara tano ya tanzania.. twaambiwa usishindane na ndovu kunya ..msamba utaumia...ona sgr yao wamesgindwa kuimaliza...
kumbe wameshindwa kumaliza mkuu hebu nielekeze hapo maana sielewi,inamaana ujenzi haundelei kabisa.....?..

hawa watanzania ni shida kwa kweli
 
kumbe wameshindwa kumaliza mkuu hebu nielekeze hapo maana sielewi,inamaana ujenzi haundelei kabisa.....?..

hawa watanzania ni shida kwa kweli
Ameandika kwa uchungu sana
Utadhani Tanzania ndio imefanya nchi yao iwe failed state.

Tunashindana na kunya!..kwani wana bus terminal kama hiyo!

Maendeleo ya Tanzania yanawaumiza hawa wakunya kinoma.
 
According to research nimegundua Dar ni mji zero kabisa katika real estate, nimeulizia malazy humu wanaishi wapi wote wakasepa. Kando na vigorofa vitatu, kariakoo kwa warabu na wahindi, ubungo ya msaada hakuna tofauti na Mogadishu.
Ni kweli mkuu uko sahihi kabisa wabongo nchi Yao imetulia Sana hawana hata mpango wowote ule na ujenzi Kenya inajenga Sana mpaka Raha 🙂 Daresalaam ni oyster bay na masaki tu🙂
 
Back
Top Bottom