tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Ziko tatuNyinyi mna interchange mbili nchi nzima.
Ziko tatuNyinyi mna interchange mbili nchi nzima.
Ziko tatu
Vitu kama hizi ziko hadi Nakuru.Nairobi hakuna sehemu kumesimama hivi View attachment 1708965
Hata huna aibu kusema kuwa meli inangoja for one week. In Mombasa port meli hata haimilizi hata siku mbili ikingoja. That just shows how Dar port operations is shit.
Katika hali ya kujisifia unakosea na kujiponza, port efficiency yenu ni mbovu ndio mana meli zinajipanga kwenye maji.
Actually you both you were focusing to reply my post without letting the message to sink in your mind.Mombasa port hakuna meli inayosubiri one week ili kuberth maana ipo efficient. Sisi hatuna containers zilizopangwa kwenye terminal kama nyinyi. Container terminal yetu iko almost empty kwa sasa. Hata kuanzia last week meli inawasili na mizigo inaanza kupakuliwa straight from meli straight to the train. The only East African country ambapo mizigo inapakuliwa straight from meli to train bila kushushwa kwenye port. Apana cheza na Mombasa port.
Cc Geza Ulole
Kurasini interchangeHiyo ya tatu ni gani?
Weka mojaVitu kama hizi ziko hadi Nakuru.
This is one of the two, another one ni hile msalaba. Sasa nataka kuona hiyo ya tatu.Kurasini interchange View attachment 1708968
Sisi zetu ni nyingi hata hatuwezi kuhesabu. Infact cities na towns ndogo kama Kisumu, Nakuru na Eldoret pia zina interchange. Ila Nairobi inazo nyingi. Halafu Nairobi expressway inayojengwa itakuwa na interchanges kumi. Nyinyi mna tatu nchi nzima sisi tuna kumi kwenye barabara moja tu. Halafu Thika Road ina interchanges nyingi pia.Ziko tatu
covid haihitaji hasira ,ni ugonjwa wakuishi nao kimachale....sasa ukiingiza drama kwenye huu ugonjwa kibongo bongo huwa hatutaki maisha ya movie ,kama ugonjwa upo upo tu kelele za nini,Drama za kupotea na Vice President wa Zanzibar?![]()
Sisi zetu ni nyingi hata hatuwezi kuhesabu. Infact cities na towns ndogo kama Kisumu, Nakuru na Eldoret pia zina interchange. Ila Nairobi inazo nyingi. Halafu Nairobi expressway inayojengwa itakuwa na interchanges kumi. Nyinyi mna tatu nchi nzima sisi tuna kumi kwenye barabara moja tu. Halafu Thika Road ina interchanges nyingi pia.
Cc Geza Ulole
Apo mmetupiga nakubaliSisi zetu ni nyingi hata hatuwezi kuhesabu. Infact cities na towns ndogo kama Kisumu, Nakuru na Eldoret pia zina interchange. Ila Nairobi inazo nyingi. Halafu Nairobi expressway inayojengwa itakuwa na interchanges kumi. Nyinyi mna tatu nchi nzima sisi tuna kumi kwenye barabara moja tu. Halafu Thika Road ina interchanges nyingi pia.
Cc Geza Ulole
Hahaha. Asante kwa kukubali.Apo mmetupiga nakubali
kuna njia nyingi sana za kupiga pesa,,naweza nikafungua kiwanda cha kofia nchini kwako na tukakubaliana kuwa silipi kodi wala chochote ndani ya miaka 50 kisha nitakukabidhi kiwanda kiwe chini yako...Emu nijuze mzee, partnership ni mkopo sio![]()
Iyo mnaifaham iko pale TazaraHahaha. Asante kwa kukubali.
Zipi hizo za maana zisizohesabika? Ukitaja 10 nchi nzima natoka humu ndani!Sisi zetu ni nyingi hata hatuwezi kuhesabu. Infact cities na towns ndogo kama Kisumu, Nakuru na Eldoret pia zina interchange. Ila Nairobi inazo nyingi. Halafu Nairobi expressway inayojengwa itakuwa na interchanges kumi. Nyinyi mna tatu nchi nzima sisi tuna kumi kwenye barabara moja tu. Halafu Thika Road ina interchanges nyingi pia.
Cc Geza Ulole
Alhamisi dude litaanza Rasmi kwahyo usiwazeniajee wakuu....?
jamani mwenye update picha ya stand ya mbezi atupie maana wikibhili stand inaanza kufanya kazi
matope ukimaanisha nini.....?Lakini kuna maeneo mengi Dar yenye barabara za matope? Hata kwenye nyumba za matajiri?
hatari mzee hiyo mitupio ni balaaa ni nginja nginja style wamezeeka halafu wana act unatorious....
She gotta gwan Ngwear