Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wanakuja wakuhesabika kwani waziri wenu balala hua anasema uongo 🤣🤣🤣🤣
Whether ni wawili au mmoja hauondoa ukweli kwamba kuna corona Kenya. Unafikiri sisi pia Ni vilaza kama nyinyi mnaobebwa ujinga Kuhusu mambo yaliyoyowazi?
 
kenya ni fisi, anayetamani nyama za msibani na kwenye harusi kwa pamoja.
hela za aid yanataka, wakati huo huo hayataki uchumi usinyae kwa kupoteza mapato ya utalii.

wakija kugundua wamechanga karata vibaya, wanaamua kununia tz ambayo imagusa karata sahihi.
Yule mchina aliyewaambia wakunya ni stupid alikuwa sahihi 100%
 
So uganda wanafurahia cheap fuel wakat wenye bandari kamasi zinawatoka alaf utasema nn
Usitulinganishe na dead state
Matumizi yetu na yao tofauti kabisa, labda utulinganishe na sauzi..
Unatulinganisha na nchi ambayo wafanyikazi wanalipwa peanuts
 
Nani mkweli wewe au waziri wenu??🤣🤣🤣🤣

Uzuri ni kwamba sisi tuko wawazi mwenye kila kitu kuhusu corona na athari zake. Sisi hatusemi wala kuambiwa uwongo ndio tuonekane mababe. Leo sijui bado mtaendelea na ule usemi wa "sisi hatuna corona" baada ya tukio ya leo kule Zanzibar ama mtakubali kirusi mnacho na kimewakaba hadi kooni
 
Usitulinganishe na dead state
Matumizi yetu na yao tofauti kabisa, labda utulinganishe na sauzi..
Unatulinganisha na nchi ambayo wafanyikazi wanalipwa peanuts
So anefurahia bei nafuu ya mafuta yanaondesha dunia akiwa hana bandari na anaetoa ushuzi wa mafuta yanayoendesha dunia wakat bandari anayo nani amekufa hapo🤣🤣🤣 hebu lets be frank
 
Uzuri ni kwamba sisi tuko wawazi mwenye kila kitu kuhusu corona na athari zake. Sisi hatusemi wala kuambiwa uwongo ndio tuonekane mababe. Leo sijui bado mtaendelea na ule usemi wa "sisi hatuna corona" baada ya tukio ya leo kule Zanzibar ama mtakubali kirusi mnacho na kimewakaba hadi kooni
Jibu swali wewe na waziri balala nani tumuamini ??? Maneno mengii ya kazi gani
so unataka tanzania tuwaige nyinyi au?? Au unatufundisha wewe
 
Uzuri ni kwamba sisi tuko wawazi mwenye kila kitu kuhusu corona na athari zake. Sisi hatusemi wala kuambiwa uwongo ndio tuonekane mababe. Leo sijui bado mtaendelea na ule usemi wa "sisi hatuna corona" baada ya tukio ya leo kule Zanzibar ama mtakubali kirusi mnacho na kimewakaba hadi kooni
Subutu, sai hko jf fb ni mwendo wa kupeana tahadhari kiuwoga uwoga
FB_IMG_16131548597525000.jpg
 
So anefurahia bei nafuu ya mafuta yanaondesha dunia akiwa hana bandari na anaetoa ushuzi wa mafuta yanayoendesha dunia wakat bandari anayo nani amekufa hapo hebu lets be frank
Hehehehe!!usitulinganishe na upuuzi
Maskini anaenda kulingana na bajeti yake..
Narudia tena, tulinganishe na sauzi watu wenye matumizi yao mapana kutuzidi
 
Back
Top Bottom