Duh maelezo yote haya bila picha?!Mbezi Luis Bus Terminal
Phase 1: ujezi wa barabara upo slow kidgo estim inabd wachangamke, Wachina 99% ya finishing za kwenye majengo zimekamilika, kwa Sasa wanajenga daraja la juu la kuingilia magari stendi ( wapo hatua ya kuweka nguzo) na finishing ndogo ndogo za nje
Phase 2: Hawa wako speed kinoma nahisi hii phase wamepewa wengine sio hao wachina
Pedestrian bridge nalo lipo hatua za mwisho nguzo zote washaweka
Hope before March huu mzgo utaanza kufanya kazi
Note: Kenyan hyo ndo stendi Bora kuliko zote Africa, sio East & Central Ni Africa nzima. Na mpaka 2025 tutatoa wazo liongezwe jukwaa la Africa ili uanzishwe uzi wa DSM vs ( Nairobi + Kigali + Kampala + Addis Ababa + Cape Town + Casablanca + Cairo + Lagos etc)
Lazima walipie, wanafikiria hii ni thika au dongo kundu unakuta magari ya tz yanapita bure tu..Haha, malazy kodi pia watalipa, jichoboy tayari amekata ticket.
Kodi zetu ndio zitalipia hyo barabara, kuhuru kuhusu kuigharimu acha iigharimu tu kwn iko nn.hizi mimba anawatungisha uhuru, siku mnajifungua mtatupa tabu sana kaka zenu.
hiki kidaraja ni pesa ndogo sana kwa serikali, yaani ingekabidhiwa hata kampuni moja inayoishi kenya hapo ingetoa pesa.
hao jamaa tayari wameishaiingiza kenya kwenye kirengeo,hiyo barabara inakwenda kugharimu kitu kingine. maana wakenya wataikimbia.
Kodi tutalipia tu[emoji1787][emoji1787]
Hehehehee we wa Mombasa uhusiki na hyo road, nyie vitu km hivyo mtavisikia kwenye bomba tu, kila kitu Nairobi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kodi tutalipia tu[emoji1787][emoji1787]
Kuna watu wanakereka sana kumbe
basi bana usichukie, usije ukaenda kujiua.Kodi zetu ndio zitalipia hyo barabara, kuhuru kuhusu kuigharimu acha iigharimu tu kwn iko nn.
Nyie jengeni la kwenu kw kampuni ya ndani ndio msiigharimu nchi
Ngoja uzinduzi wa barabara za mombasa, yani mwaka huu mtasaga meno[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hehehehee we wa Mombasa uhusiki na hyo road, nyie vitu km hivyo mtavisikia kwenye bomba tu, kila kitu Nairobi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Unateseka ukiwa wapi mkuu[emoji1787][emoji1787]basi bana usichukie, usije ukaenda kujiua.
kwavile sio lazima kupita haina tatizo.
nateseka na nini!!!!Unateseka ukiwa wapi mkuu[emoji1787][emoji1787]
Magufulinateseka na nini!!!!
kama magufuli anatesa watu, basi wengine wanaua kabisa.Magufuli
Mbona basi uteseke na expressway km analeta furahakama magufuli anatesa watu, basi wengine wanaua kabisa.
magu analeta furaha aisee.
hiyo ya mchina au kuna nyingine ya kenya!!!!Mbona basi uteseke na expressway km analeta furaha
Nani alie ?mnapagawa na vitu vya kawaida mno btw tunasubiri kupanda treni ya umeme na sio vinginevyoNgoja uzinduzi wa barabara za mombasa, yani mwaka huu mtasaga meno[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Laiti ungelijua mombasa kw sasa kunafanywa nn wala usingelithubutu kuitaja
Na expressway nikipewa uhai na uzima lazima niitumie yani sio kw hiyari[emoji1787][emoji1787]
Unaumwa sio, na kodi nitalipa we ukitaka kajinyonge
Subiri msa vitu vikamilike jomba, mombasa projects hazina hype sana yani vitu chini ya maji.Nani alie ?mnapagawa na vitu vya kawaida mno btw tunasubiri kupanda treni ya umeme na sio vinginevyo