Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uhehehehe kwa miaka 30 mzee ajira zote kwa wachina mukilipishwa kwa miaka 30 wakat nchi inahemea makalio
Idea ya ppp haijaanzia kenya
*****, njoo ulipie kuteleza juu ya expressway..mwaka huu hakuna vya bure
 
Idea ya ppp haijaanzia kenya
*****, njoo ulipie kuteleza juu ya expressway..mwaka huu hakuna vya bure
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 miaka 30 mzee mpaka mjukuu atalipa ushuru ila mchina kawakamata pabaya sana
 
Corona ilikuwepo kipindi kile cha first wave na ikaondoka, now imerudi na itaondoka, you know what? We are blessed country na believe me hii second wave inakwenda kutupa utukufu na dunia nzima itaamini kwamba Tz iko sayari ya pekeake, na utalii utaongezeka maradufu.

Corona hapa Tz co nyumbani kwake
Mungu hajaribiwi
 
Yani nimekupiga mpaka ukaanza kujitoa ufahamu
Akili zimeshaenda lumumba
Uheheheh mwenye bandari analia wakat asie na bandari anakula kuku 😅😅😅😅 ama kweli dalili sa yesu kushuka zimewadia
 
Kenya haikutoa ilani wewe bongolala. Marekani na nchi nyingi za Ulaya ndizo zilizotoa ilani baada ya wasafiri wengi kutoka Tanzania kugundulika kuwa na kirusi
hao wengi uliowaona.....?

evidence pliiiiiz uwaweke hapa tuwaone
 
This is Battle.
Ikiisha Hii tufanye collabo then tumubattle hata Dubai.
Sina mchezo mimi
 
IMG_1613591056.902837.jpg
 
Back
Top Bottom