Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jibu swali wewe na waziri balala nani tumuamini ??? Maneno mengii ya kazi gani
so unataka tanzania tuwaige nyinyi au?? Au unatufundisha wewe
Nishakuambia sisi tuko wawazi. What do you understand by that in this context about tourists arivals? In short ni kwamba sijakataa maneno hayo
 
Hehehehe!!usitulinganishe na upuuzi
Maskini anaenda kulingana na bajeti yake..
Narudia tena, tulinganishe na sauzi watu wenye matumizi yao mapana kutuzidi
Jibu swali basi 🤣🤣🤣👇👇👇
So anefurahia bei nafuu ya mafuta yanaondesha dunia akiwa hana bandari na anaetoa ushuzi wa mafuta yanayoendesha dunia wakat bandari anayo nani amekufa hapo🤣🤣🤣 hebu lets be frank
 
Nishakuambia sisi tuko wawazi. What do you understand by that in this context about tourists arivals? In short ni kwamba sijakataa maneno hayo
Ukwel kwao mwiko aisee, jamaa anaogopa kufungiwa!!***** chezea dikteta uchwara wewe
FB_IMG_16130860298959068.jpg
 
Are they buidling 27km or 9km Kwanza ??
Bongolala, the whole stretch is under construction as I type this. Ujenzi ulianzia mlolongo and they are already in Westlands. How is that 9 kms? Ama bado unataka billboard ya ujenzi kwa sababu huamini macho yako?
 
Nishakuambia sisi tuko wawazi. What do you understand by that in this context about tourists arivals? In short ni kwamba sijakataa maneno hayo
Uwazi gani so unataka sisi tuwaige nyinyi kwamba tuweke curfew au tufunge nchi?? Kila nchi inambinu zake katika kukabiliana na majanga yoyote wewe usitulazmishe sisi tufanane na nyie kama mulifeli ni nyie
 
Bongolala, the whole stretch is under construction as I type this. Ujenzi ulianzia mlolongo and they are already in Westlands. How is that 9 kms? Ama bado unataka billboard ya ujenzi kwa sababu huamini macho yako?
Sisi tunajua ni project ya mchina ambayo atamiliki kwa miaka 30 alichukua ushuru kwenu hilo linajulikana dunia nzima 😆😆 na baada ya kukamilika mutajua kwann hua tunawaona wajinga
 
Uwazi gani so unataka sisi tuwaige nyinyi kwamba tuweke curfew au tufunge nchi?? Kila nchi inambinu zake katika kukabiliana na majanga yoyote wewe usitulazmishe sisi tufanane na nyie kama mulifeli ni nyie
Tena tz kuna majanga, emu tueleze vizuri..
Ni janga gani hilo mnalokabiliana nalo kw sasa
 
Uzuri ni kwamba sisi tuko wawazi mwenye kila kitu kuhusu corona na athari zake. Sisi hatusemi wala kuambiwa uwongo ndio tuonekane mababe. Leo sijui bado mtaendelea na ule usemi wa "sisi hatuna corona" baada ya tukio ya leo kule Zanzibar ama mtakubali kirusi mnacho na kimewakaba hadi kooni
Corona ilikuwepo kipindi kile cha first wave na ikaondoka, now imerudi na itaondoka, you know what? We are blessed country na believe me hii second wave inakwenda kutupa utukufu na dunia nzima itaamini kwamba Tz iko sayari ya pekeake, na utalii utaongezeka maradufu.

Corona hapa Tz co nyumbani kwake
 
Swali gani hilo
Range na probox matumizi tofauti
🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇 so leo range analia hana mafuta na mwenye probox anaenjoy life ni sawa 👇👇👇👇👇
So anefurahia bei nafuu ya mafuta yanaondesha dunia akiwa hana bandari na anaetoa ushuzi wa mafuta yanayoendesha dunia wakat bandari anayo nani amekufa hapo🤣🤣🤣 hebu lets be frank
 
Uwazi gani so unataka sisi tuwaige nyinyi kwamba tuweke curfew au tufunge nchi?? Kila nchi inambinu zake katika kukabiliana na majanga yoyote wewe usitulazmishe sisi tufanane na nyie kama mulifeli ni nyie
Mbona hizo mbinu haijazuia viongozi wenu kufa kwa corona? Baada ya nye nye za "sisi hatuna corona" mwishowe mumeaibika 😂 😂
 
Sisi tunajua ni project ya mchina ambayo atamiliki kwa miaka 30 alichukua ushuru kwenu hilo linajulikana dunia nzima na baada ya kukamilika mutajua kwann hua tunawaona wajinga
Miradi ya PPP haijaanzia kenya
*****, ukija nairobi unalipia kodi kuteleza..
Hakuna vya bure majirani
 
Tena tz kuna majanga, emu tueleze vizuri..
Ni janga gani hilo mnalokabiliana nalo kw sasa
Unaombea majanga au sio nyinyi mulisema baada ya miezi mitatu watanzania watakufa mass death 😀😀😀 sio nyinyi au
 
Miradi ya PPP haijaanzia kenya
*****, ukija nairobi unalipia kodi kuteleza..
Hakuna vya bure majirani
Uhehehehe kwa miaka 30 mzee ajira zote kwa wachina mukilipishwa kwa miaka 30 🤣🤣🤣🤣🤣 wakat nchi inahemea makalio
 
Corona ilikuwepo kipindi kile cha first wave na ikaondoka, now imerudi na itaondoka, you know what? We are blessed country na believe me hii second wave inakwenda kutupa utukufu na dunia nzima itaamini kwamba Tz iko sayari ya pekeake, na utalii utaongezeka maradufu.

Corona hapa Tz co nyumbani kwake
Eti sasa imerudi?? Imerudi just because one of your leaders came out open about his status only to die a few days later? Enyewe nyinyi ni wajinga
 
Back
Top Bottom