Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huwezi kutoa ilani ya nchi nyingine wakat wewe mwenyewe uharo unakutoka au unafkiri uganda rwanda na nchi zingine kukaa kimya ni wajinga?? Nyie ndio munaakili tatizo lenu nyinyi sisi tunawajua vzr sana
Kenya haikutoa ilani wewe bongolala. Marekani na nchi nyingi za Ulaya ndizo zilizotoa ilani baada ya wasafiri wengi kutoka Tanzania kugundulika kuwa na kirusi
 
Kwa hivyo ni kweli kuna corona Tanzania?? 😂 😂
Cha pili, wewe unajuaje alipona wakati hakuna taarifa kuu iliyotolewa kudhibitisha hayo?
Kwani rais anaposema tuchukue tahadhari anamaana gani lakini issue ni kua hatutaki watu wapate hofu na mishtuko hicho ndio sababu za vifo, chuki chuki zitawasaidia nini
 
Kenya haikutoa ilani wewe bongolala. Marekani na nchi nyingi za Ulaya ndizo zilizotoa ilani baada ya wasafiri wengi kutoka Tanzania kugundulika kuwa na kirusi
Marekani na ulaya hio ni kawaida yao kwani hawakulzmisha africa waowane wanaume kwa wanaume umesahau wewe?? Achana na wazungu sisi tunazungumzia kenya mzee kwann muongee nyinyi pekeenu africa ?? Munashida gani na tanzania ?? Kwani magufuli aliwafanya nn
 
Ushawah kuskia media ya tanzania inazungumzia habari za corona za kenya au za uganda au za rwanda ??? Lini umeskia
Tatizo na chuki ni wivu.
Speed anayoenda nayo JPM inawapa sleepless kwa hiyo wanaona labda wakiwekeza kwenye propaganda kuichafua Tanzania watapunguza speed ya JPM kumbe ndo kwanza wanakoleza moto
 
Sisi tunaonglea kenya wachana na wazungu hao tunawajua miaka yote
Kwann kenya na sio africa ?? Munachuki na magufuli for what au kwasababu kaipigisga tanzania hatua kubwa sana au???
Taarifa zilitolewa hadi na wachina.

Hapa Africa, hata South Africa walizungumzia hili so sijui mbona majasiriko
 
Taarifa zilitolewa hadi na wachina.

Hapa Africa, hata South Africa walizungumzia hili so sijui mbona majasiriko
Taarifa zilitolewa hadi na wachina.

Hapa Africa, hata South Africa walizungumzia hili so sijui mbona majasiriko
News 24 ni america ? Sasa unshangaa nn hapo sisi tunazungumzia kenya kwann wawe peke yao africa ?? Kwann sio uganda kwann sio malawi kwann sio rwanda and burundi, y not ethiopia and zambia kwann iwe ni kenya ???? Munashida gani na tanzania
 
Kwani rais anaposema tuchukue tahadhari anamaana gani lakini issue ni kua hatutaki watu wapate hofu na mishtuko hicho ndio sababu za vifo, chuki chuki zitawasaidia nini
Ukiona jirani yako maisha yake yanaenda vizuri na biashara zake zinaenda vizuri usimchukie wala kuweka chuki yoyote mfate muulize yeye anafanyaje ili na wewe ufanye ila ukiwekeza kwenye chuki utapata tabu sana.
Kenya imeamua kuwekeza kwenye chuki na mfano ni hawa wakunya certified nincompoop za humu jf
 
Kwa hivyo ni kweli kuna corona Tanzania??
Cha pili, wewe unajuaje alipona wakati hakuna taarifa kuu iliyotolewa kudhibitisha hayo?
wewe kalio kweli kijana.

unaijua corona wewe!! yaani mtu aumwe corona asipone atoke azurule!!!
 
Ukiona jirani yako maisha yake yanaenda vizuri na biashara zake zinaenda vizuri usimchukie wala kuweka chuki yoyote mfate muulize yeye anafanyaje ili na wewe ufanye ila ukiwekeza kwenye chuki utapata tabu sana.
Kenya imeamua kuwekeza kwenye chuki na mfano ni hawa wakunya certified nincompoop za humu jf
Yani bro hata inashangaza hata ukikaa ukawaza

Leo mtu akifa ni corona kila mtu akifa ni corona jamani kabla ya corona watu hawakufa what kind of stupidity is this??
 
Ukiona jirani yako maisha yake yanaenda vizuri na biashara zake zinaenda vizuri usimchukie wala kuweka chuki yoyote mfate muulize yeye anafanyaje ili na wewe ufanye ila ukiwekeza kwenye chuki utapata tabu sana.
Kenya imeamua kuwekeza kwenye chuki na mfano ni hawa wakunya certified nincompoop za humu jf
kenya ni fisi, anayetamani nyama za msibani na kwenye harusi kwa pamoja.
hela za aid yanataka, wakati huo huo hayataki uchumi usinyae kwa kupoteza mapato ya utalii.

wakija kugundua wamechanga karata vibaya, wanaamua kununia tz ambayo imagusa karata sahihi.
 
Marekani na ulaya hio ni kawaida yao kwani hawakulzmisha africa waowane wanaume kwa wanaume umesahau wewe?? Achana na wazungu sisi tunazungumzia kenya mzee kwann muongee nyinyi pekeenu africa ?? Munashida gani na tanzania ?? Kwani magufuli aliwafanya nn
South Africa pia Ni ulaya 😂 😂

Hata India pia ni ulaya 😂
 
Back
Top Bottom