Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ya thika hio ushuzi wa 50km from nairobi
Thèka kw ground
Ndio maana ilikua hyo video unaiogopa kwenda nayo mpka kw groundView attachment 1701088
images.jpeg-33.jpg
images.jpeg-32.jpg
images.jpeg-31.jpg
 
Ila wana katiba ya kifala sana yaani Rais hawezi kumuondoa naibu wake! Yani jamaa ana namba za kutosha bungeni. Bila umafia wa kumuondoa Ruto kama Saitoti, 2022 ni vita! Jamaa muda huu ana walinzi private na soon atakuwa na militia wake! Jamaa ni hatari kinoma!
Wakikuyu ni wabinafsi sana, Rutto anajua alichofanyiwa Raila na Kibaki. Kudili na hawa jamaa ni kulala nao mbele tuu.
 
yani nimecheka sana leo ananiambia kwann napost za old town wakat hio CBD yao yenyewe iko old town na business yote ya mombasa iko old town
Kushika mwongo ni rahisi sana kuliko mwizi, old town ni residential ya waswahili 80%., (Waislamu wote), no substantial businesses there only soko la marikiti., eti unaijua Mombasa old town iko kando ya CBD nilijua wewe ni Mr google, haujui lolote!., uchumi uko maeneo ya industrial area, port, na outskirts, kama Bamburi na Nyali centre zina mzunguko wa pesa kushinda old town mara mia., nenda kadanganye wapuzi wenzako., Kiswahili mingi kimejaa umwehu ndani., eti Mombasa ni old town ata afadhali ungedanganya kwa kusema mwembe tayari, it is a business centre by far than old town
 
Absolutely , na ni mostly residential , kuleta clips za Mwanza kumeonyesha standards za Tz na za Uganda ziko sambamba., yaani Mwanza is a serious city Thika pia ni city walai kwa hiyo standards.,
 
Ya thika hio ushuzi wa 50km from nairobi
Hiyo clip ata uki tazama yote na you do comparative analysis na ile ya Mwanza bila shabiki za kitoto unaona tu vile Mwanza haifai kuitwa city., Thika imechangamka kuliko Mwanza, utadhani Mwanza ni Malindi ama Lamu, a laid back town, inakaa sehemu ya starehe tu., residential ni mashambani apart from high end yenye ni ndogo ukilinganisha na the whole Mwanza, high end residential ya Thika can only be compared na za Dar(not captured in the clip).., ama uta pinga.,
 
Back
Top Bottom