Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Anza na hii sumbawanga ukimaliza nitafute [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Simba wanga sio[emoji1787][emoji1787]
Hapo ndio kuna nini jamani zaidi ya huo uchochoro unaoelekea kuzimu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani nimecheka sana leo ananiambia kwann napost za old town wakat hio CBD yao yenyewe iko old town na business yote ya mombasa iko old town [emoji28][emoji28][emoji28]
Kisha umesema unaijua mombasa[emoji1787]
 
Njombe ina nafuu mara 100 manake wana stend ya kisasa soko la kisasa [emoji28][emoji28][emoji28]
Stendi ya kisasa, soko la kisasa maisha ya maisha ya kizamani[emoji1787][emoji1787]
Si heri tuishi kisasa kuliko tuishi kizamani alafu ndio stendi na soko ndio vys kisasa
 
Back
Top Bottom