komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Simba wanga sioAnza na hii sumbawanga ukimaliza nitafute


Hapo ndio kuna nini jamani zaidi ya huo uchochoro unaoelekea kuzimu
Simba wanga sioAnza na hii sumbawanga ukimaliza nitafute


Kisha umesema unaijua mombasayani nimecheka sana leo ananiambia kwann napost za old town wakat hio CBD yao yenyewe iko old town na business yote ya mombasa iko old town
![]()

Kwhyo hutaki video sio


Umepanic tayar 😁😁😁 fungua video basi hasira haisaidiiSimba wanga sio
Hapo ndio kuna nini jamani zaidi ya huo uchochoro unaoelekea kuzimu
Kumechakaa kama njombe
Ndio naijua vzr sana labda unidanganye uchumi wa mombasa hauko old town 😅😅Kisha umesema unaijua mombasa![]()
Njombe ina nafuu mara 100 manake wana stend ya kisasa soko la kisasa 😅😅😅Kumechakaa kama njombe
ROSTAM ANASEMA IT'S THE BIGGEST IN AFRICA 👀
Stendi ya kisasa, soko la kisasa maisha ya maisha ya kizamaniNjombe ina nafuu mara 100 manake wana stend ya kisasa soko la kisasa![]()


Emu malizia, uko wapi uchumi wa mombasaNdio naijua vzr sana labda unidanganye uchumi wa mombasa hauko old town![]()



Mara ya elfu moja hii umepost lkn bado ni ule ule uchochoro, au siku hizi wameongezea flyover kw mbeleUmepanic tayarfungua video basi hasira haisaidii
Tuonyeshe viongozi hapoJana tuliambiwa kenya hakuna ajali
Bado hutaki video tuKwani hio nimetoa wapi???


Hivi leo mnaleta comments

Hebu leta nyumba za udongo za kariakoo na magomeni tuzione nasubiria hapa bro 🤣🤣Hivi leo mnaleta comments
Na juzi tu hapa za kuhusu nyumba za udongo kariakoo na magomeni mlikasirika mpka basi
Kwani hio nn 🤣🤣👇👇👇👇 nimecheka mpaka basiBado hutaki video tu
Fungua uangalie ndani acha kukwepa
Nioneyeshe ushahidi kua kila baada ya mwezi kiongozi tanzania anapata ajali na kufa nasubiri toka jana 😀😀😀😀Tuonyeshe viongozi hapo