Uehhehhehhehe umekosa street ukaleta main roads 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mm nilijua huwezi toka salamaHadhi ya mwanza hyo![]()
Hzi ni main roads au streets 🤣🤣🤣🤣🤣Mombasa beibeee
Ichoboy njok u quote tuendeleze gurumuView attachment 1700312View attachment 1700313View attachment 1700314View attachment 1700315View attachment 1700316View attachment 1700317
Yaani streets unaita main roads 😂 😂 😛 😛 Mombasa kweli ni size ya Dar., Thika iko na mwonekano wa jiji kuliko ata hiyo Mwanza yako.., am proving it shortly..,😛😂😂😂Hzi ni main roads au streets 🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa watanzania waliochanganyikiwa humu, hakuna anayekufikia. "Main road" ndiyo nini?Hzi ni main roads au streets 🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu tumezoea sarakasi zake. Eti yupo busy kucompare Mombasa na Mwanza! 😂Huyu ichoboy01 anateseka Sana, anajaribu kuitetea a town that Thika street look is more of a city than that ka Mwanza
![]()
Picha ya kwanza hapo juu inatoa jibu murua kwa wale waliokariri kuwa double stack container loading haitawezekana...
A few selected screenshots za Thika town kwa wale hawana data ya kutazama clip.,Thika iko na mwonekano wa city kuliko Mwanza! a 7th largest town!!
#MwanzaIla wana katiba ya kifala sana yaani Rais hawezi kumuondoa naibu wake! Yani jamaa ana namba za kutosha bungeni. Bila umafia wa kumuondoa Ruto kama Saitoti, 2022 ni vita! Jamaa muda huu ana walinzi private na soon atakuwa na militia wake! Jamaa ni hatari kinoma!hili blame ni kwa Rais mwenyewe, kwa kukubali handshake na RAO na kudisrespect his deputy
wanataka kushindana na mwanza au Dar
Nyinyi watu mna peculiarities zingine za maajabu. Sasa kupiga nyungu ndio kufanya nini? Huo unakaa kama uchawi. Sisi Kenya hatuna mambo kama hayo.
Nyungu haina tofauti na steam bath. Usichukulie poa nyungu. Inafanya mambo zaidi ya kutibu uviko-19. Hata yale mambo yetu yale, yaani nasukuma boli si mchezo 😛. Sasa niko fit kama vile nina miaka 27.






Ila kamcharua Abood mpk sio poa, yn mpk anaondoka bado anaye tuROSTAM ANASEMA IT'S THE BIGGEST IN AFRICA![]()





