chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,125
Unafikiri helicopters ni matako?Aliyekwambia nani!? 40 ni za jeshi. Kuna 15 za polisi, 13 za askari pori, kuna 9 za nys. Maelfu za kibinafsi, mamia za mahospitali, unasema nini wewe
Unafikiri helicopters ni matako?Aliyekwambia nani!? 40 ni za jeshi. Kuna 15 za polisi, 13 za askari pori, kuna 9 za nys. Maelfu za kibinafsi, mamia za mahospitali, unasema nini wewe
Ofisi hii na Mombasa nzima Hakuna maji
Yani mtu aumie na iyo copy and pasteJinyonge na wivuama Lia kabisa
., Kenya inawatesa na bado., ni kionjo tu..,





We ndiye wakusema!!!!Unafikiri helicopters ni matako?
Mchina huyuhuyu ndo anawanyuka kila siku na mikataba ya kuwalala tena iliyoandikwa kwa kiingereza! 😀 😀 👆🤣
Nyie ndio mnaopata tabu ila cc wala hatujisumbui cz kazi zinafanyika.
Wakiombwa streets wanaleta main roads hahahhahahaha sindano ilipofika ulikua huwezi kuitoa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hatuna oneway huku![]()
kwa kwa kwa so old town wanaishi wanyama au ngamia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umekimbia kujificha old townmkora wewe, umeishiwa pumzi kabisaa!
jiulize mbona wenzako wamekimya?
![]()
Haya fananisha leo tucheke 🤣🤣🤣👇👇Yaani imejengwa hadi kwa akili yako unaona eti ni main roads, that is how Mwanza is way below, that a street in Mombasa kwa Mwanza nikama main road
., Have fun with more of our coasto ukiendelea kulia lia,.,
View attachment 1700680
View attachment 1700682
View attachment 1700683
View attachment 1700678
View attachment 1700679
View attachment 1700684
View attachment 1700688
View attachment 1700677View attachment 1700685View attachment 1700686View attachment 1700687
Hzi ni streets hebu tuambie 🤣🤣alizopost ni streets au???Yaani streets unaita main roads 😂 😂 😛 😛 Mombasa kweli ni size ya Dar., Thika iko na mwonekano wa jiji kuliko ata hiyo Mwanza yako.., am proving it shortly..,😛😂😂😂
Hebu wasaidie wenzio kupata strees za hadhii hii mombasa ukipata nitag👇👇👇Kwa watanzania waliochanganyikiwa humu, hakuna anayekufikia. "Main road" ndiyo nini?
Wakat mwanza inaitoa jasho kwenye suburb pamoja na streets hatujagusa bus terminals huko 😅😅😅😅😅😀Yaani streets unaita main roads 😂 😂 😛 😛 Mombasa kweli ni size ya Dar., Thika iko na mwonekano wa jiji kuliko ata hiyo Mwanza yako.., am proving it shortly..,😛😂😂😂
So umekasirika 🤣🤣🤣🤣🤣 saidia wenzio wamejikojoleaHuyu tumezoea sarakasi zake. Eti yupo busy kucompare Mombasa na Mwanza! 😂
Thika iko na mwonekano wa city kuliko Mwanza! a 7th largest town!!
Anza na hii sumbawanga ukimaliza nitafute 🤣🤣🤣👇👇👇👇A few selected screenshots za Thika town kwa wale hawana data ya kutazama clip.,#Mwanza
View attachment 1700766View attachment 1700768View attachment 1700769View attachment 1700770View attachment 1700771View attachment 1700772View attachment 1700773View attachment 1700774View attachment 1700775View attachment 1700776View attachment 1700777View attachment 1700779View attachment 1700780
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wametafuta street za hadhi kwa udi na uvumba lakini wapi mzigo umekwama kinywaniKawaida sana mbona unahangaika
😂😂😂😂😂😂 yani nimecheka sana leo ananiambia kwann napost za old town wakat hio CBD yao yenyewe iko old town na business yote ya mombasa iko old town 😅😅😅Pelek ushuz mbalii