Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzungu aliondoka (ga) na akili za wakunya na amegoma kuwarudishia.
Ndio maana bado anawatawala.
Ni kweli kabisa hawa wenzetu siyo wenzetu tena, maana akili zao zimefichwa na malkia Elizabeth, chochote atakacho waambia lazima wafuate. Wakenya ni kama maroboti they don't have ability to decide them selves.

Mfano muone hapo Yosef Festo analazimisha eti Dar ifanane na Mombasa. Kama huu siyo wendawazimu ni nini!?
 
Hadi raha , Tz hakuna lolote la kuweka? , teseka kabisaaa na bado sijaona eti umebadilisha ukweli., more posts am here waiting ,
Yosef Festo Kenya ni nchi ya hovyo sijawahi kuona katika dunia hii. Nadhani ibilisi aliangukia Kenya alipofukuzwa mbinguni.

Hiki kwa akili yako kweli unaweza kufananisha na nchi inayojitegemea na nchi yenu hiyo tegemezi!?
 
Mwenzake alikimbia humu ndani mbona 🤣🤣 na kama anajiamini ajaribu nimube manake mombasa anafkiria atanidanganya nn huyo
Still crying boyi.,😂😂😂, uongo umekujaa kichwani., endelea kujitetea bado mambo ni pale pale., endelea kulia lia tu na vijisababu uchwara😂😂😂😂 try somthing else, pengine utapata nafuu., but I dont think so., next point.,
 
Bukoba baby😀Chombo cha hivi Kenya watasubiri Sana 😀
 

Attachments

  • Screenshot_20210208-071739_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20210208-071739_WhatsApp.jpg
    52 KB · Views: 5
  • 20210208_071825.jpg
    20210208_071825.jpg
    36.2 KB · Views: 6
Am not refusing. Slums zipo, shida nyinyi hulinganisha Dar na slums. You can only compare two comparable things.

Ina maana, Dar inafanana na Kibera. Ndivyo mtu akileta picha ya Nairobi nzuri, Hamleti picha nzuri ya Dar kulinganisha bali kina Ichoboy wanakimbilia Kibera.
Ni ngumu kutenganisha Nairobi na slums.
 
Yosef Festo Kenya ni nchi ya hovyo sijawahi kuona katika dunia hii. Nadhani ibilisi aliangukia Kenya alipofukuzwa mbinguni.

Hiki kwa akili yako kweli unaweza kufananisha na nchi inayojitegemea na nchi yenu hiyo tegemezi!?
Machungu na povuuu poleni kaka, hadi raha, saidia ichoboy01 kulia bro., ameumia sana., leteni kibera na akina korogocho muitete Dar es salaam village., mwaga matusi yote pengine itabadilisha ukweli na ikupe nafuu, utasikia vizuri kidogo endelea, be my guest,😂😂😂😂
 
Kiuhalisia hawawezi kusema hvyo ila ukweli unajulikana, hata wewe unaujua.
Wewe na Geza Ulole mna ujinga fulani kama mnaamini kwamba 100% ya Nairobi haina piped water. Kwamba hata UNEP headquarters na UN Habitat in Gigiri haina piped water? Kwamba state house ya Kenya haina piped water? Mna kichaa nyinyi.
 
Wewe na Geza Ulole mna ujinga fulani kama mnaamini kwamba 100% ya Nairobi haina piped water. Kwamba hata UNEP headquarters na UN Habitat in Gigiri haina piped water? Kwamba state house ya Kenya haina piped water? Mna kichaa nyinyi.
hawa huwa wanajaribu kulazimisha fikra zao kwa Kenya, wanatamani ikue ukweli ili ionekane iko chini yao., noises tu, wasamehe, ni inferiority complex.
 
Tatizo lako Tony254 unataka kulazimisha kitu ambacho hukijui. Satellite huwa zinarushwa kutoka ardhini kwenda angani hicho ni kitendo cha kwanza. Kisha hufungwa ndio maana zipo kule angani zimetulia. Yaani satellites zimefungwa angani.

Kurusha ni kitendo cha kusafirisha. Lakini mwisho wa siku hufungwa ili zianze kufanyakazi.
Satellite hazifungwi mzee. Wewe ni cosmologist fake na hujui hilo? Rocket inazunguka dunia kwa velocity ya juu sana na kisha inaiwachilia satellite iendelee kurevolve around the earth through inertia. Hizi satellite baada ya miaka kadhaa velocity yao ya kurevolve around the earth huwa inapungua na inaanguka ardhini. Satellite haziwezi kurevolve forever kwa sababu ya drag from the atmosphere
 
Back
Top Bottom