Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Hvi wewe unaeza mfundisha mtanzania kiswahili???😀😀😀😀😀Venus Star ichoboy01 Shebby01 babayao255
Nauliza tukizingatia kiswahili chenu kibovu basi itakuwa mwezi na jua pia zimefungwa angani? Itakuwaje kwamba satellite inafungwa angani. Mnaharibu kiswahili.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 leo kazi kazi usione aibu we pitia hapo
Satellite hazifungwi mzee. Wewe ni cosmologist fake na hujui hilo? Rocket inazunguka dunia kwa velocity ya juu sana na kisha inaiwachilia satellite iendelee kurevolve around the earth through inertia. Hizi satellite baada ya miaka kadhaa velocity yao ya kurevolve around the earth huwa inapungua na inaanguka ardhini. Satellite haziwezi kurevolve forever kwa sababu ya drag from the atmosphere
Na nikikuambia Mwanza size yake Eldoret unabisha sana😂😂😂 look at their suburbs?., am watching and rewatching your clips!., infact hiyo residential is nowhere near za Eldoret bro kulikoni?., ukipata residential kama za Eldoret Mwanza, well organized, modern housing., nafunga account., na sijakuletea za Machakos.,😂😂😂
Na nikikuambia Mwanza size yake Eldoret unabisha sana😂😂😂 look at their suburbs?., am watching and rewatching your clips!., infact hiyo residential is nowhere near za Eldoret bro kulikoni?., ukipata residential kama za Eldoret Mwanza, well organized, modern housing., nafunga account., na sijakuletea za Machakos.,😂😂😂
Umeogopa kuna bangladesh slum mombasa itakuumbua 😆😆😆😆😆😆
Kwa ujinga ulio andikwacha nikucheke tu., such shenanigans wachia ichoboy01 atetee fishing village, wewe discuss mambo mengine.,
, napenda anavyo expose Dar yote., the dude is a die-hard Dar fanatic., just another Mombasa kubwa.


ndio unadhan unafaa kukosoa mtu


angalia bangi inaongea hapa 😂 😂 😂 , eti fimbo, unahurumisha, mbona kuteseka hivi ukitetea hakuna?😂😂😂😂., ulifanya bora kuweka video clip., hapa maneno yako yanabaki tu kua maneno., wacha video clips zako zizungumze na kujitetea😂😂😂😂,🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwekwekwe fimbo imeingia kisawasawa 👇👇👇👇👇
Uhehehhehe umeona kuna bakora mbele ukaona ukimbilie kwenye ushuzi mwengine unaitwa eldoret 😅😅😅😅😅😅 mm hakuna mji utanidangany keny labda lamu na turkana sijui wajir ndio sijafikaangalia bangi inaongea hapa 😂 😂 😂 , eti fimbo, unahurumisha, mbona kuteseka hivi ukitetea hakuna?😂😂😂😂., ulifanya bora kuweka video clip., hapa maneno yako yanabaki tu kua maneno., wacha video clips zako zizungumze na kujitetea😂😂😂😂,
Hizi maana zote za funga hakuna hata moja inayohusu satellite kufungwa angani. Wewe unadhani rocket ikishafika angani na ianze kuzunguka dunia halafu iwachilie satellite halafu satellite hio ianze kuzunguka dunia hicho ni kitendo gani kama sio kurusha?
Tazama hapa
Si alijua kuna sehemu atakula bakora ndio maana kajiwah huko 😀😀😀 na mm nilishamsoma tuHaha wewe umechokora youtube hadi ukapata hio video?
Umeogopa kuna bangladesh slum mombasa itakuumbua 😆😆😆😆😆😆
Hizi maana zote za funga hakuna hata moja inayohusu satellite kufungwa angani. Wewe unadhani rocket ikishafika angani na ianze kuzunguka dunia halafu iwachilie satellite halafu satellite hio ianze kuzunguka dunia hicho ni kitendo gani kama sio kurusha?
Tazama hapa
Confirmed? Nilidhani tenda itatangazwa May au June mwaka huu. Kumbe kitu tayari!SGR Isaka-Makutupora mchina ndo atapewa ajenge. Mambo motomoto![]()
Tony na wewe unakubali kubebwa malenge? Let's be realistic here! Hiyo cargo yote mta import kupeleka wapi? Kwa hicho kiwanda kimoja cha chuma?
Umeona mwenzio alivo na akili 🤣🤣👇unatafuta pakutokea baada ya kunyoroshwa kama kawaida yako😂😂😂😂😂., sikuletei mapungufu ya Dar leo, ukweli ni ule ule, mashambani, cant lower myself to your level😂😂😂 masikini kaumia leo, pole bro si kwa kupenda kwangu, ni facts tu, hatuwezi badilisha kamwe, endelea kulia lia bro na vijisababu.,😂😂😂 leo umepata taabu sana., unajaribu video inashindikana., umetafuta Tz yote umekosa jibu unarudi kutafuta mapungufu ya Kenya ili ujikomboe kutokana na kichapo😂😂😂😂😂😂 mwaga povu hadi basi., raha tele leo
Haha wewe umechokora youtube hadi ukapata hio video?