Shebby01
JF-Expert Member
- Nov 11, 2020
- 2,520
- 5,872
Wako kwenye kikao cha BBI wanasikilizia🙂Naona unatangaza utalii, mbn sioni mnyama hata mmoja mkuu.
Wako kwenye kikao cha BBI wanasikilizia🙂Naona unatangaza utalii, mbn sioni mnyama hata mmoja mkuu.
60% of raia wa nairobi wanaishi hivi

So ww na google earth nani anaakili zaidi😀😀 yani mzungu aweke sattelite ya mabilioni ya pesa asione slum dar aone za dunia nzimaNimekuwa nikijiuliza, Mbona Watanzania hujibu vitu vizuri za Nairobi, kwa picha mbovu za Kibera.....?
Lakini nimepata kuelewa.
Ukimwambia Mtanzania hapa ni Eastlands Nairobi, atakataa na kuja na takwimu za slums in Nairobi
View attachment 1696919
View attachment 1696920
Ukimwambia kwamba hapa ni Kasarani, ataenda kutafuta picha mbovu ya slums Nairobi.
View attachment 1696921
View attachment 1696923
View attachment 1696924
View attachment 1696925
Ukimweleza hapa ni Runda Nairobi, atakweleza nyumba za wabeberu kisha arudi Kibera,
View attachment 1696946
Ukija useme KIambu ipo kwenye Nairobi Metropolitan Area, atakuletea Map ya Nairobi County aseme Kiambu si Nairobi
View attachment 1696949
Nimepata ufahamu, kwamba Dar es Salaam can not compare with Nairobi.
It can only compare with Slums in it,
Because the whole of Dar es Salaam ni slum.
Another thing, Tanzanians don't watch videos about Kenya posted here, so Kenyans just take screen shots for them
Upanga unamuachia nani mama mgina au??😀Ukitoa Posta hii kama Mombasa tu.
Ila zenu focus ni hayo majengo matatu. Nairobi naweza post GTC ionekane tu juu ya urefu but focus iwe kwengine.
Povu la kijana mmoja kutoka kariobangi 🤣🤣Kwa Estates Mombasa iko juu ya Dar. Port Mombasa iko juu ya Dar. Dar inashindia Mombasa CBD, majengo marefu na ukubwa wa eneo tu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kweli hii thread imekua ni darasa zuri kwa wakenyaNgara =posta,kariokoo and upangaView attachment 1697031
Dar wapi hapo?😀unachukua picha za Mozambique unatuwekea hapa eti dar🙂 Nairobi mjitahidi kwenye usafi basi😔😔👇👇👇kuanzia Eastleigh mpaka nyamakima,marikiti market uchafu mtindo mmoja🙂
Dah, hapo Seacliff wangemimina zege la nguvu chini hapo kuponguza ardhi kuliwa haraka.City inafaa kua namna Hii
Nani alikudanganya Dar ni level yakoView attachment 1696986
Livery ndio nini?Aiseh livery ya ATC kali ...pata picha tutengeneze special livery ya ku promote toursim
Picha kali sn.
Livery ndio nini?
Dar wapi hapo?unachukua picha za Mozambique unatuwekea hapa eti dar
Nairobi mjitahidi kwenye usafi basi
kuanzia Eastleigh mpaka nyamakima,marikiti market uchafu mtindo mmoja
![]()

Nani kasema mna uchumi bora? Ninyi mmepata huo uchumi bora lini?Mika ya 80s, 90s - 2002 uchumi wa Tanzania ulikuwa juu ya Kenya. Alafu utaskia wakikuambia tuliachiwa uchumi bora na beberu.
Mkia wa ndege, huo wenye picture ya TwigaLivery ndio nini?
🤣🤣🤣 Yani we Acha 🙂Duh, na matoroli ya maji![]()
Very ignorant. That is an edited map. No map of Nairobi on Google Earth looks like so.So ww na google earth nani anaakili zaidi😀😀 yani mzungu aweke sattelite ya mabilioni ya pesa asione slum dar aone za dunia nzima
View attachment 1697129
CBK TOWERS (Central Bank of Kenya)Nionyeshe bank kuu ya kenya hayo ni majengo ya bank kuu ya Tz