Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,923
- 103,791
Naona unatangaza utalii, mbn sioni mnyama hata mmoja mkuu.
Nice shot, though the road infrastructure looks 3rd world
Hii sehemu ina potential nzuri sana kuja ku-grow nakuwa the most modern institute in the whole of Africa!Mloganzila Modern Hodpital, Dar es Salaam.. View attachment 1696890
Iko reserved hiyo mkuu, More health institutes to comeHii sehamu ina potential nzuri sana kuja ku-grow nakuwa the most modern institute in the whole of Africa!
sema the East Africa's most modern SGR!Tz Modern 200km Dar Moro SGR View attachment 1696892
Ya kitambo hii, weka vitu current mzee.Tanzanian MP on Kenyan products
City inafaa kua namna HiiNimekuwa nikijiuliza, Mbona Watanzania hujibu vitu vizuri za Nairobi, kwa picha mbovu za Kibera.....?
Lakini nimepata kuelewa.
Ukimwambia Mtanzania hapa ni Eastlands Nairobi, atakataa na kuja na takwimu za slums in Nairobi
View attachment 1696919
View attachment 1696920
Ukimwambia kwamba hapa ni Kasarani, ataenda kutafuta picha mbovu ya slums Nairobi.
View attachment 1696921
View attachment 1696923
View attachment 1696924
View attachment 1696925
Ukimweleza hapa ni Runda Nairobi, atakweleza nyumba za wabeberu kisha arudi Kibera,
View attachment 1696946
Ukija useme KIambu ipo kwenye Nairobi Metropolitan Area, atakuletea Map ya Nairobi County aseme Kiambu si Nairobi
View attachment 1696949
Nimepata ufahamu, kwamba Dar es Salaam can not compare with Nairobi.
It can only compare with Slums in it,
Because the whole of Dar es Salaam ni slum.
Another thing, Tanzanians don't watch videos about Kenya posted here, so Kenyans just take screen shots for them
The only developed place in Dar ni kwenye hizo tower tatu.....yani tangu huu uzi uanzishwe miaka minne iliyopita picha ni zilezile tuCity inafaa kua namna Hii
Nani alikudanganya Dar ni level yakoView attachment 1696986View attachment 1696988View attachment 1696990View attachment 1696991View attachment 1696992
Ukitoa Posta hii kama Mombasa tu.City inafaa kua namna Hii
Nani alikudanganya Dar ni level yakoView attachment 1696986View attachment 1696988View attachment 1696990View attachment 1696991View attachment 1696992
Kitambo ya miaka mia moja au mika tatu-nne hivi?Ya kitambo hii, weka vitu current mzee.
Ukipost picha yyte ya Nairobi kwa sasa maeneo ya mjn lazima utaiona GTC huo wivu wala hautusumbuiThe only developed place in Dar ni kwenye hizo tower tatu.....yani tangu huu uzi uanzishwe miaka minne iliyopita picha ni zilezile tu