tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Mombasa ilishajifia zamani sanaUkitoa Posta hii kama Mombasa tu.
Mombasa ilishajifia zamani sanaUkitoa Posta hii kama Mombasa tu.
Kwa Estates Mombasa iko juu ya Dar. Port Mombasa iko juu ya Dar. Dar inashindia Mombasa CBD, majengo marefu na ukubwa wa eneo tu.Mombasa ilishajifia zamani sana
Sisi tunamaeneo kibao tumepost huku tangu mwanzo,...so sioni hajayako kulia[emoji16][emoji16]Ukipost picha yyte ya Nairobi kwa sasa maeneo ya mjn lazima utaiona GTC huo wivu wala hautusumbui
Ila zenu focus ni hayo majengo matatu. Nairobi naweza post GTC ionekane tu juu ya urefu but focus iwe kwengine.Ukipost picha yyte ya Nairobi kwa sasa maeneo ya mjn lazima utaiona GTC huo wivu wala hautusumbui
Mombasa iko na estate gani ya kusumbua hapa mjini?Kwa Estates Mombasa iko juu ya Dar. Port Mombasa iko juu ya Dar. Dar inashindia Mombasa CBD, majengo marefu na ukubwa wa eneo tu.
Unasema mombasa wakati Nairobi yenyewe haina vifaa kama hiviKwa Estates Mombasa iko juu ya Dar. Port Mombasa iko juu ya Dar. Dar inashindia Mombasa CBD, majengo marefu na ukubwa wa eneo tu.
Nyumba tuko nazo nyingi sanaIla zenu focus ni hayo majengo matatu. Nairobi naweza post GTC ionekane tu juu ya urefu but focus iwe kwengine.
are you seriously talking about those two buildings? 🤣 🤣Unasema mombasa wakati Nairobi yenyewe haina vifaa kama hiviView attachment 1697006
Sisi tulikuwa 10 million na nyinyi mlikuwa 11 million wakati tunapata uhuru. Lakini baada ya miaka 50 nyinyi mumetuzidi na zaidi ya watu 10 million. Sasa ni watu gani wanapigana kuni sana?
Si zile zile za Posta mnazoshinda mkipost.
Mika ya 80s, 90s - 2002 uchumi wa Tanzania ulikuwa juu ya Kenya. Alafu utaskia wakikuambia tuliachiwa uchumi bora na beberu.Hawa majamaa hawajui jinsi uchumi wetu ulikuwa trash taka taka ghasia kabisa wakati wa Moi. Kabla ya Kibaki kuchukua usukani, uchumi wa Kenya ulikua taka taka tu. Wanatuonanga tuko juu yao wanadhani hali ilikuwa hivyo kutoka zamani ila Kenya ilianza kupepea kuanzia 2002 ulivyosema. Tangu huyo mzee mjinga aondoke, Kenya hatujaangalia nyuma.
Nionyeshe bank kuu ya kenya hayo ni majengo ya bank kuu ya Tzare you seriously talking about those two buildings? 🤣 🤣
The first block is almost 80% complete and visibleAffordable housing in pangani.... eight blocks of eighteen floors eachView attachment 1697017View attachment 1697018View attachment 1697019View attachment 1697020View attachment 1697022
Tuko 2021 na uchumi wenu unasinyaaMika ya 80s, 90s - 2002 uchumi wa Tanzania ulikuwa juu ya Kenya. Alafu utaskia wakikuambia tuliachiwa uchumi bora na beberu.
Pia jabavu wameanza excavation kwenye site yao ya jeevanje huko NgaraAffordable housing in pangani.... eight blocks of eighteen floors eachView attachment 1697017View attachment 1697018View attachment 1697019View attachment 1697020View attachment 1697022