The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,529
Jersey feki hzo
Uzi wa kishamba kweli huu
Inauma eehhhYani jezi km vest vile jamani, yani nani aliyewadanganya hawa watu ya kwamba eti jersey iw km dera dera hivi
Tony254 waelewe tu jamani![]()












Jersey feki hzo
Uzi wa kishamba kweli huu
Inauma eehhhYani jezi km vest vile jamani, yani nani aliyewadanganya hawa watu ya kwamba eti jersey iw km dera dera hivi
Tony254 waelewe tu jamani![]()












Jersey mbaya. Sijui anapost kwa nini?
Wallahi Kenya cjui mnapata wapi ujasiri wa kushindana na TzUzi wa kiboya sana huo mzee baba, nyie basi mnajua jazi zikoje au unapiga kelele tu jamani..
Yani jezi ya mpira iwe hvo kweli![]()













Watz tuko huru kila mtu anachangia anavyojisikia, wengi wa wanaoponda ni wale wenye mlengo wa kisiasa especially wale waliotumbuliwa, lkn hata wao pia cku hz wameanza kuelewa taifa linaelekea wapi, co nyinyi nchi imejaa upuuzi eti mnaona haya kusema ukweli humu.Utapigwa mawe ukisema ukweli kuhusu Dar., be careful,. ficha aibu ya Dar.
Duh ndo imefikia hv kwmb dunia nzima inakimbilia Tz!! Hv earnings from tourism sector si tutashindwa kuzibeba mwaka huuNgoro ngoro hiyoo,mungiki vitu kama hivi wanaishia kuviona kwenye picha





MarketKenya is a construction site. This is Chaka Market in Nyeri county.View attachment 1695252View attachment 1695253View attachment 1695254










Yani umeenda kuokota jezi za zinazotengezwa mitaani unatuletea hapaWallahi Kenya cjui mnapata wapi ujasiri wa kushindana na Tz
View attachment 1695603View attachment 1695604






Hao ni adidas kweliWallahi Kenya cjui mnapata wapi ujasiri wa kushindana na Tz
View attachment 1695603View attachment 1695604

?Nyie bado sn mpo stone age.Yani umeenda kuokota jezi za zinazotengezwa mitaani unatuletea hapa![]()
We unafikiri hizi team kama bandari fc na city stars,kariobangi sharks na thika FC? Hizi team kubwa zina international players kibao Wana investment za kutosha we unaongelea jersey?🙂wakenya hamuishi vituko kweli🙂Yani jersey hata sticker hazina bana, kwn zinatengezwa kinyamela nn
Jersey zenu hata sticker hazina alafu unakuja kuulizia adidasHao ni adidas kweli?


Kila watu na mambo yao, hata sisi hku kuna michezo mingine tumewekeza balaa.We unafikiri hizi team kama bandari fc na city stars,kariobangi sharks na thika FC? Hizi team kubwa zina international players kibao Wana investment za kutosha we unaongelea jersey?wakenya hamuishi vituko kweli
![]()
Huko zanzibar ndio hatari,ilibidi tutangaze kivutio kingine cha utalii mafia island aisee,mafia ina vigezo vyote vya utalii kwa wale watalii wanaopenda blue waterDuh ndo imefikia hv kwmb dunia nzima inakimbilia Tz!! Hv earnings from tourism sector si tutashindwa kuzibeba mwaka huu![]()
Kwa kauli hii mana ake umeshatii kuhusu football clubs so case closed, ongelea mbioKila watu na mambo yao, hata sisi hku kuna michezo mingine tumewekeza balaa.




Alafu usiitaje badari na hzo timu zenu, manake bandari ni timu tajiri sana tatizo management mbovu..yani hku soka hakuna anayetaka kuliingia soko lake kichwa kichwa hata sijui wanaogopa nnWe unafikiri hizi team kama bandari fc na city stars,kariobangi sharks na thika FC? Hizi team kubwa zina international players kibao Wana investment za kutosha we unaongelea jersey?wakenya hamuishi vituko kweli
![]()
Pesa ya utalii mwaka huu itavunja rekodi ya karne.Huko zanzibar ndio hatari,ilibidi tutangaze kivutio kingine cha utalii mafia island aisee,mafia ina vigezo vyote vya utalii kwa wale watalii wanaopenda blue water
Safi Sana kwa hiyo issue ya Mpira tuko juu yenu🙂nyie mko poa kwenye rugby na mbio sisi Mpira tuko level nyingine 🙂Kila watu na mambo yao, hata sisi hku kuna michezo mingine tumewekeza balaa.
Football clubs au timu mbili tu nchi nzimaKwa kauli hii mana ake umeshatii kuhusu football clubs so case closed, ongelea mbio![]()

