Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar es salaam is worse than a village kwa wingi!! heri kuishi mashambani., 80-90% ya sq km ni ushuzi(their saying) mtupu!!
🤣🤣🤣🤣 sijaona wakileta nyumba zao za estates ambazo si high end hata moja kwani hawa watu wanaishi kwa kichaka kelele tu ndo mingi
 
sijaona wakileta nyumba zao za estates ambazo si high end hata moja kwani hawa watu wanaishi kwa kichaka kelele tu ndo mingi
Angalia hizo affordable housing in TZ Kwa matu wa hali ya chini sana tz
20210203_100600.jpg
20210203_100529.jpg
20210203_100432.jpg
20210203_100409.jpg
20210203_100346.jpg
20210203_100318.jpg
 
You really want to sound like an informed person but the opposite Is the truth. Kama Nairobi is that small, which is a fact, ungejiuliza iweje inamudu kubeba kiasi kikubwa hivyo ya watu? The answer is so simple: There's vertical development ( I don't know whether you'll understand this) and that's why there are apartments virtually every where in Nairobi. Tatizo. These apartments accommodate more people in a small area.
The reason kuna estates mingi sana zina tokelezea in the surrounding counties, kama in Kiambu, Machakos, Kajiado., hizo estates ni Nairobi imezimwaga kule, most are offshoots of Nairobi, the reason Nai imekua a Metro, yaani Nairobi Metropolitan, making it far bigger than Dar! hapa hawezi kukubali., and even that extension ukiongezea is still far developed than their whole 1600sq km in general, 😂 😂 😂
 
tukiwaambia dar kubwa na sehemu nyingi za dar hatujapiga picha wa kuchukua video wanabaki kutoa macho.....

wao kila siku wanapost upperhil na kilimani estate ni zile zile tu miaka nenda rudi
Angalia hiyo magnolia hill and the kind of homes it has
 
You really want to sound like an informed person but the opposite Is the truth. Kama Nairobi is that small, which is a fact, ungejiuliza iweje inamudu kubeba kiasi kikubwa hivyo ya watu? The answer is so simple: There's vertical development ( I don't know whether you'll understand this) and that's why there are apartments virtually every where in Nairobi. Tatizo. These apartments accommodate more people in a small area.
Uhahahahha hutaki hesabu mkiambiwa ukweli munalia ndio maana dar hutapata slum na hilo mzungu analijua kwasababu mtu mmoja wa kawaida kumiliki nyumba 5 ni kitu cha kawaida sana tofaut na kwenu kumiliki ardhi ni shida
 
The reason kuna estates mingi sana zina tokelezea in the surrounding counties, kama in Kiambu, Machakos, Kajiado., hizo estates ni Nairobi imezimwaga kule, most are offshoots of Nairobi, the reason Nai imekua a Metro, yaani Nairobi Metropolitan, making it far bigger than Dar! hapa hawezi kukubali., and even that extension ukiongezea is still far developed than their whole 1600sq km in general, 😂 😂 😂
Wacha midanganyika zijifariji
 
Asante kwa kuwa Mkweli.
ichoboy01 unaona jinsi Mtanzania mwenzako anavyosema ukweli kwamba hamna apartments.
Dar is ahead of nairobi kwa 3b usd in real estate bado tushindane nn, kazi yenu ni kwenda kupanga bedsitter pale umoja kwa nyumba za investors alf ndoto ya kumiliki ardhi inaishia kwenye makende🤪🤪🤪
 
Hizi zinkaa hostel tulikataa nilishakutumia how affordable planning inafaa kujengwa
Watu wa chini TZ ndio wanakaa huko ila kenya mid and low income earners wanakaa kibera hata kama ni hostel huwezi fananisha na kibera na mchakaka mengine ya Nairobi. Angalia apartments za middle class in TZ hizo hapo View attachment 1693271View attachment 1693275View attachment 1693273View attachment 1693272View attachment 1693274View attachment 1693276View attachment 1693277View attachment 1693278
20210203_113121.jpg
20210203_113104.jpg
20210203_113044.jpg
20210203_113029.jpg
20210203_113014.jpg
20210203_112954.jpg
20210203_112937.jpg
20210203_112919.jpg
20210203_112904.jpg
20210203_112841.jpg
20210203_112823.jpg
20210203_112801.jpg
20210203_112743.jpg
20210203_112728.jpg
20210203_112708.jpg
 
Yani shida ilioko hapa waforce kwamba dar kuna slum wakat hakuna ili na wao wasionekane wana slums peke yao 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom