Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tuliza nyege. Huku kwenye mipangilio wa nyumba na kwenye apartments huwa tumewapiga kisawasawa. Hata mkorinto amekubali.
Mkorinto sio wa kwanza kukubali. Walishakubali na wengine pia kitambo sana. They are just living in denial
Screenshot_20190731-130224.png
Screenshot_20190731-113026.png
Screenshot_20190731-112625.png
Screenshot_20190731-111803.png
Screenshot_20190731-111735.png
Screenshot_20190731-111614.png
Screenshot_20190731-111422.png
Screenshot_20190731-110558.png
 
Makazi yetu kuna maji, security, sanitation,mtu anapiga meals 5 kwa siku etc sijui upande wenu labda utujuze vile🙂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ati sanitation and tanzania was listed one of the countries in the word with poor sanitation get your facts right tanzania wengi wanatumia choo za shimo 🤣🤣🤣
 
Hahaha. Halafu kuna ingine ya bus station aliweka akisema ati ni apartment. Sijui kama uliiona? Hawa watu wana vituko sana.
I saw it too. Alishapost hadi kituo cha polisi 😂 😂
That's how desperate he is. Remember he's the lead character wa ile mchezo wa kuigiza named "Dar has more apartments than Nairobi " so he has to sweat his a** out trying to prove his point. Sometimes huwa namhurumia
 
Wewe kweli mzito kuelewa ulicho andika na nilivyokujibu nimetoa sababu kwanini Dar population ni ndogo kuliko uhalisia sasa unashindwa nini kuelewa? Majibu yangu yako very plain hata mtoto wa primary angeelewa.
And that's the point. Tulikuwa tunajaribu kueleza Ni kwa nini Nairobi Ni ndogo ila kuna watu wengi wakati Dar Ni kubwa ba ina watu wachache ukizingatia ukubwa wake. Point yetu ni kwamba Nairobi kuna apartments nyingi ndio maana licha to udogo wake, imeweza kubeba kiss kikubwa cha watu kama hiyo.

Hoja ilikuwa Ni Leanna jiji lipi iko na apartments nyingi between these two. Your point does not relate na subject of discussion. It was purely about apartments
 
Mnafanya nini Nairobi kama nchi yenu ni ya asali na maziwa? Mbona mnafanya biashara ndogo ndogo Nairobi? Mbona umekataa kujibu hili swali?
Maisha popote bwana mkubwa,kingine mzunguko wa hela kwenu uko juu, Nairobi kuna sehemu nzuri tu sio kote kubaya 🙂napenda maeneo ya lower kabete kuna investor mmoja namfahamu kutoka middle East ana real estate safi Sana 🙂Aziz consultant unamjua? Pale lavington ana apartment za kiwango🙂karibu jaffery schools Nairobi sema slums zinawaharibia muonekano
 
tukiwaambia dar kubwa na sehemu nyingi za dar hatujapiga picha wa kuchukua video wanabaki kutoa macho.....

wao kila siku wanapost upperhil na kilimani estate ni zile zile tu miaka nenda rudi
Safi Sana 👍👍
 
Simple math haya kataa sasa🤣🤣👇👇
View attachment 1693162
You really want to sound like an informed person but the opposite Is the truth. Kama Nairobi is that small, which is a fact, ungejiuliza iweje inamudu kubeba kiasi kikubwa hivyo ya watu? The answer is so simple: There's vertical development ( I don't know whether you'll understand this) and that's why there are apartments virtually every where in Nairobi. Tatizo. These apartments accommodate more people in a small area.
 
tukiwaambia dar kubwa na sehemu nyingi za dar hatujapiga picha wa kuchukua video wanabaki kutoa macho.....

wao kila siku wanapost upperhil na kilimani estate ni zile zile tu miaka nenda rudi
Ai kilimani wapi sahizi hadi county za inje kuna estates kali kali jua kenya haijalala
 
Back
Top Bottom