Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ligi yoote hii ili walazmishe dar iwe na slum wakat haina ili wao wasionekane wana slums za ajabu duniani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mm narudia tena dar haitakua na slums mpaka dunia inasimama na dar haitaweza kufananishwa kwa makazi ya ovyo wanayoishi watu kwenye slums

Tony254 Nicxie Simba 254
 
Unajua maana ya middle income earner in Kenya ama unamaanisha middle income ya TZ?,. ju lower middle income ndio eastlands middle averagely ni kina kilimani, kileleshwa, Parklands etc., upper middle Spring Valley, Kitusuru, Lavington.,etc, kibera ni lower earners.,
mnapenda kulazimisha eti Tz ionekane nafuu, bro 80% na zaidi ni village type residential, nyumba za kishamba shamba, hayo mengine ni hadithi za vijiweni unatuletea.,
 
Unajua maana ya middle income earner in Kenya ama unamaanisha middle income ya TZ?,. ju lower middle income ndio eastlands middle averagely live ni kina kilimani, kileleshwa, Parklands etc., upper middle Spring Valley, Kitusuru, Lavington.,etc, kibera ni lower earners.,
mnapenda kulazimisha eti Tz ionekane nafuu, bro 80% na zaidi ni village type residential, nyumba za kishamba shamba, hayo mengine ni hadithi za vijiweni unatuletea.,
So hutaki ukweli au 🤣🤣🤣👇👇👇
 
Ligi yoote hii ili walazmishe dar iwe na slum wakat haina ili wao wasionekane wana slums za ajabu duniani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mm narudia tena dar haitakua na slums mpaka dunia inasimama na dar haitaweza kufananishwa kwa makazi ya ovyo wanayoishi watu kwenye slums

Tony254 Nicxie Simba 254
Dar ni 80% village low life standards, period.
 
Unajua maana ya middle income earner in Kenya ama unamaanisha middle income ya TZ?,. ju lower middle income ndio eastlands middle averagely ni kina kilimani, kileleshwa, Parklands etc., upper middle Spring Valley, Kitusuru, Lavington.,etc, kibera ni lower earners.,
mnapenda kulazimisha eti Tz ionekane nafuu, bro 80% na zaidi ni village type residential, nyumba za kishamba shamba, hayo mengine ni hadithi za vijiweni unatuletea.,
Na hao foreigners wanaishi wapi ??? Manake kazi nyingi zimeshikwa na foreigners ndio maana unemployment rate is three times of tanzania bado unajidanganya sasa😁😁😁
 
jaman huyu hapa kaongea nn?

it’s like anasema ‘nilienda jikon kuepua mboga nikakuta uhuru kenyata anahutubia mkutano wakati anakamua maziwa ya ng’ombe huku ndege ya makamu rais imeanguka nairobi bila makam rais mwenyewe kuwepo ambapo polisi walikuwa wanakamata wezi wa kuku mtaan kisumu’

jamaa haeleweki anatoa point gan
 
Dar ni 80% village low life standards, period.
Ww na mzungu nani anaaliki zaidi 🤣🤣👇
8CCD7BB0-1036-47BC-9C55-9B334AAB6ECA.png
3B60F777-53DF-4BE1-A3E3-3EF56363EC37.png
 
Bongolala, Kibera has only 200k people. How all low and mid income earners in Nairobi live in an area measuring just 2.5 square kilometers only a Tanzanian like you can explain
 
Normal standards of living in Dar es salaam is low quality!! kiushamba sana., na wengi wame kodisha., tusidanganyane, you cannot comp;are to eastlands where 60% of Nairobians resides. Dar is an epi-centre ya low life standards of living in East Africa., on average 80-90% are living in village type houses, even worse., prove me wrong?
View attachment 1693165

View attachment 1693166

View attachment 1693167
Look at some places in Dar..,na ni sehemu kubwa kubwa ju ya your big population sprawled all over..,
View attachment 1693168
Hapo ni dar sehem gani ? ugoro unakusumbua ww.....
JamiiForums-1487670864.jpg
 
Hio 20% percent umeitoa kisogoni mwako au wapi? Hapa Nairobi kuna apartments hata za ksh 5,000 za single room na zina maji. Kwa hivyo hata mahustlers wanaweza kuafford kuishi kwa apartment. Wale wanaoishi kwa slum ni wale masikini kabisa ambao hawawezi kuafford hata hio ksh 5,000 kwa mwezi. Inabidi waishi kwenye nyumba za mabati wanazolipia maybe ksh 2,000 kwa mwezi.
Wacha uwongo Kibera nani analipa ksh2000? Kuna mahali Kibera kodi ni ksh100 na watu wanashindwa ku afford, unabisha?
 
Kubali hujui maana ya apartment. Anyway, utaelewaje kitu hamna?
Na real estate maana yake nn hebu nifundishe wewe mjuaji 🤣🤣🤣🤣
Shida yako ni kwamba ulazmishe dar iwe na slum wakat hakuna 😁😁😁
 
ipo wazi nairobi maji shida je,,,,,hilo hiyo si huduma muhimu kwa binadamu....?

usipende kubisha bisha
Kwa hivyo sewer system sio huduma muhimu in a city? Sisi huenda tuko na shida ya maji, nyinyi mnajua hata maana ya neno sewer system?
 
Back
Top Bottom