Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
sijui,niko bize kidogo nitarudi mzee ojwani....Maji ni shida wala si eti haiko. Wewe hapo hata sewer system unajua ni nini?
unipe hilo somo
sijui,niko bize kidogo nitarudi mzee ojwani....Maji ni shida wala si eti haiko. Wewe hapo hata sewer system unajua ni nini?
So hutaki ukweli au 🤣🤣🤣👇👇👇
Real estate is a general term bongolala. Hapa tunaongea kuhusu apartments, not office buildings japo zote ni real estate. Mbona unalazimisha usiku iwe mchana?Na real estate maana yake nn hebu nifundishe wewe mjuaji 🤣🤣🤣🤣
Shida yako ni kwamba ulazmishe dar iwe na slum wakat hakuna 😁😁😁
Unaongea kuhusu huduma muhimu wakati nyinyi hamna huduma ya sewer system! And you call it a city!!sijui,niko bize kidogo nitarudi mzee ojwani....
unipe hilo somo
Mm nimekuuliza swali jepesi kwamba wale foreigners wanaishi wapi na ndio wameshika kazi zenu??? Sasa ukiambia 70% mko munaishi maisha ya nguruwe unakataa nn hapoyour levels with aerial evidence ni ya kipekee ukanda huu, facts kwa ground dont lie😂😂😂 😂 😂 ,
Ndio jibu lake hilo 🤣🤣🤣 kwamba real estate ni general term yani ushamaliza hapo uhahahha shida kuu ni kwamba ulazmishe dar kuna slum haiwezekani hata ulie uchekeReal estate is a general term bongolala. Hapa tunaongea kuhusu apartments, not office buildings japo zote ni real estate. Mbona unalazimisha usiku iwe mchana?
Leta picha ya Kibera mpya [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ndo hiyo pipeline ulisema haina manjia angalia ujue ilishabadilika kutambo you people are living in the past hata kibera sasa ina njia nzuri sana na ilisafishwa na NYS
teacher ojwani nikirudi utanifundisha,,ngoja nijenge taifa kwanzaUnaongea kuhusu huduma muhimu wakati nyinyi hamna huduma ya sewer system! And you call it a city!!
So just because real estate encompasses both office buildings and apartments inamaanisha office buildings zianze kuitwa apartments??Ndio jibu lake hilo 🤣🤣🤣 kwamba real estate ni general term yani ushamaliza hapo
Tukianza na real estate tuko ahead of u by 3b usdSo just because real estate encompasses both office buildings and apartments inamaanisha office buildings zianze kuitwa apartments??
Wewe kweli mwehu
so with Eastlands having 60% ya Nai population., unaeka wapi hao 70%., Kibera iko Southlands., kuja pole pole mjanja 😂 😂 😂 😂., facts vs fiction, tunaumbua reports za NGOs uchwara.,Mm nimekuuliza swali jepesi kwamba wale foreigners wanaishi wapi na ndio wameshika kazi zenu??? Sasa ukiambia 70% mko munaishi maisha ya nguruwe unakataa nn hapo
Acha tu ninyamaze. Endelea kupost office buildings na kuziita apartments ujifariji nazoTukianza na real estate tuko ahead of u by 3b usd
tukirudi kwenye umiliki wa nyumba dar iko ahead of nai by far
Tukirudi kwenye land owning dar iko ahead of u by far hapo tunashindana nn 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 so ukisema real estate maana yake appartments hakuna au??Acha tu ninyamaze. Endelea kupost office buildings na kuziita apartments ujifariji nazo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wakishindwa hua wanaokota picha za google [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
so with Eastlands having 60% ya Nai population., unaeka wapi hao 70%., Kibera iko Southlands., kuja pole pole mjanja 😂 😂 😂 😂., facts vs fiction, tunaumbua reports za NGOs uchwara.,
Eastlands hii hapa..,
Kibera unayo ipenda hii hapa;.,
Hapa niliwaumbua wazi wazi yaani umekosa jibu kamwee😂😂😂😂😂😂😂😂 bro uko desperate sana!! tulia tu ukweli ukutese roho, itabidi umezoea utapona tu, hautakufa😂😂😂😂😂😂😂😛😛😛Bado tunashindana tu 🤣🤣🤣🤣🤣 tukiwaambia ukweli wanakasirika View attachment 1693315View attachment 1693316
Of course ziko na ni kama ile uliyoleta 😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 so ukisema real estate maana yake appartments hakuna au??