Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huo ni ukweli Nairobi is World capital of slums! Unabisha nalo hilo?
We kidogo umechanganyikiwa post your low income places tuone your village like life..... sisi tumepost our eastlands and even the new improved kibera nyinyi Maneno tu
 
THE "MIGHTY" KIBERA DEMYSTIFIED., kimbilio la watani.,
Kibera imekuwa ni kivutio kimojawapo cha utalii kenya. Sijui wanaenda kuona watu living in cages and shacks surrounded by poor infrastructure and dirty (natumia nahau kdg) because kibera people are also humans.
 
Watz wengi hatukai kwenye apartments ila tunamiliki houses na hapo Tandale ziko nyingi tuu.
funny looking houses kote kote, low quality village type, a manifestation of low standards., mbona hivyo?.,
 
Kibera imekuwa ni kivutio kimojawapo cha utalii kenya. Sijui wanaenda kuona watu living in cages and shacks surrounded by poor infrastructure and dirty (natumia nahau kdg) because kibera people are also humans.
umekurupuka kabla ya kutazama video 😂 😂 😂 , your typical character., haujui kinacho ongelewa pale.., pole bro, mtapona tu.
 
Asante kwa kuwa Mkweli.
ichoboy01 unaona jinsi Mtanzania mwenzako anavyosema ukweli kwamba hamna apartments.
Ichoboy alileta picha ya an isolated office block na kusema ni apartment! 😂 😂 😂 Enyewe kuna watu wajinga humu ndani lakini hakuna anayefikia Ichoboy.
 
Atleast huyu Mtanzania coodip1 amekubali kwamba hawana apartments. Akina ichoboy01 bado wanazidi tudanganya kwamba Dar ina apartments nyingi.
Dar iko na apartments nyingi kwa akili yake tu. Ukimuambia akuletee picha za hizo apartments watu waone anakuletea picha za office buildings 😂
 
Ichoboy alileta picha ya an isolated office block na kusema ni apartment! 😂 😂 😂 Enyewe kuna watu wajinga humu ndani lakini hakuna anayefikia Ichoboy.
Hahaha. Halafu kuna ingine ya bus station aliweka akisema ati ni apartment. Sijui kama uliiona? Hawa watu wana vituko sana.
 
Mbona unadanganya watu kwamba most of Nairobi ni slums? Lengo lako ni nini? Hatujakataa kwamba slums zipo lakini kwa nini unadanganya watu kwamba most of Nairobi ni slums?
Nairobi slums ninazo zijua na ambazo nimefika hizi hapa; alafu wadau waniambie kama ni least au most🙂
1.Kariobangi-darfur,githembe,kanyama,light industries,kariobangi sewage etc
2.Huruma-kiamaiko,ngei,
3.mathare-4a,mradi,desert,Kosovo,mlango kubwa etc etc area 4
4.mukuru kwa Jenga,kwa Ruben,mukuru kayaba
5.majengo,ziwani,shauri moyo,Kashmir etc
6.korogocho,Kisumu ndogo,Balkans.grogon a,b/gitathuru,ngomongo,Kona mbaya,undugu, mandrakos,
7.,kasabuni, lucky summer Baba dogo,kariadudu
8.kayole Soweto
9.kibera.line Saba,Lindi,Soweto, charagombe
10.kawangware etc etc
Hiyo imekaa aje mkuu🙂
 
Tatizo la slum hakuna lakini most houses are in pathetic standards it's like a big village
Makazi yetu kuna maji, security, sanitation,mtu anapiga meals 5 kwa siku etc sijui upande wenu labda utujuze vile🙂
 
Makazi yetu kuna maji, security, sanitation,mtu anapiga meals 5 kwa siku etc sijui upande wenu labda utujuze vile🙂
Mnafanya nini Nairobi kama nchi yenu ni ya asali na maziwa? Mbona mnafanya biashara ndogo ndogo Nairobi? Mbona umekataa kujibu hili swali?
 
To begin with, Kariobangi is not a ward. Secondly, I can show you different parts of Kariobangi but that won't change yourviews and opinion about the area. But for the sake of information, tell me how these places below in Kariobangi are slums
View attachment 1692973View attachment 1692974View attachment 1692975View attachment 1692976View attachment 1692977View attachment 1692978

While these ones in Dar are not
View attachment 1692980View attachment 1692981View attachment 1692982
Explain to me like a two-year old
Ngoja nikuonyeshe maana ya affordable housing in TZ. Hizo ni kwa watu wa hali ya chini sana Tanzania.
20210203_100600.jpg
20210203_100529.jpg
20210203_100432.jpg
20210203_100409.jpg
20210203_100346.jpg
20210203_100318.jpg
 
Ngoja nikuonyeshe maana ya affordable housing in TZ. Hizo ni kwa watu wa hali ya chini sana Tanzania. View attachment 1693210View attachment 1693211View attachment 1693212View attachment 1693213View attachment 1693214View attachment 1693215
Kwani Kenya hatuna affordable housing? Hata Kenya tunazo. Akina Pangani affordable housing. Hata Kibera walijengewa affordable housing. Nyinyi mumeanza kujenga apartments za affordable housing juzi. Wengi wenu mnaishi kwenye viwanja mliyopewa na serikali.
 
Back
Top Bottom