Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu kariobangi naifaham Sana nimefika pande hizo imegawanyika,north,south, light industries ,city council housing, hapo alipo achia picha nikaribu na outering estate upande huo mwingine kama unaelekea umoja caltex,mpaka embakasi🙂kariobangi South kidogo kuna mpangilio huko kwingine kote upande wa kariobangi informal settlements A.k.a slums
Kwa hivyo wewe ulikuja kuishi Nairobi kwa nini kama Nairobi ni slum? Ona huyu mjinga. Si ungebaki huko kwenu ambako hakuna slums ule maziwa na asali ya CCM. Unakuja kwa slum kufanya nini?
 
Screenshot_20210203-054128~2.png
Screenshot_20210203-053114~2.png

Bro The best 007 ichoboy01 muhifadhi hiz picha nisijekuona mnashindwa tena na hao waja
 
Kwa hivyo wewe ulikuja kuishi Nairobi kwa nini kama Nairobi ni slum? Ona huyu mjinga. Si ungebaki huko kwenu ambako hakuna slums ule maziwa na asali ya CCM. Unakuja kwa slum kufanya nini?
we wa kunitaa mjinga kweli? Siwezi nikakutukana siko hivo jirani yangu🙂 Kuna sehemu umeskia nimesema Nairobi mzima imekaa slum? Kweli? Mbona Nairobi kuna sehemu kumekaa vizuri Hilo Mimi sibishi maana Nairobi naijua vizuri Ila hapa tunaongelea swala la slum🙂Mimi nlikua kwa ajili ya kazi kuna sehemu nyingi Nairobi kumejaa nyumba nzuri tu lakini asilimia kubwa ya estates upande wa pili kuna slum🙂
 
we wa kunitaa mjinga kweli? Siwezi nikakutukana siko hivo jirani yangu🙂 Kuna sehemu umeskia nimesema Nairobi mzima imekaa slum? Kweli? Mbona Nairobi kuna sehemu kumekaa vizuri Hilo Mimi sibishi maana Nairobi naijua vizuri Ila hapa tunaongelea swala la slum🙂Mimi nlikua kwa ajili ya kazi kuna sehemu nyingi Nairobi kumejaa nyumba nzuri tu lakini asilimia kubwa ya estates upande wa pili kuna slum🙂
Mfano runda beautiful and one of expensive suburbs nyuma slum🙂
Kitisuru nyuma slums🙂
Hurlingam nyuma slum🙂
Thome estate nyuma slum🙂
Karen kuna slum🙂
Buruburu nyuma slum🙂
Etc etc
 
Back
Top Bottom