Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Kwa hivyo wewe ulikuja kuishi Nairobi kwa nini kama Nairobi ni slum? Ona huyu mjinga. Si ungebaki huko kwenu ambako hakuna slums ule maziwa na asali ya CCM. Unakuja kwa slum kufanya nini?Mkuu kariobangi naifaham Sana nimefika pande hizo imegawanyika,north,south, light industries ,city council housing, hapo alipo achia picha nikaribu na outering estate upande huo mwingine kama unaelekea umoja caltex,mpaka embakasi🙂kariobangi South kidogo kuna mpangilio huko kwingine kote upande wa kariobangi informal settlements A.k.a slums