So hizo sehemu ambazo hao wanamgambo wanazivamia haziko kenya?
Au kenya ni hayo maeneo machache uliyo yataja?
Vipi kuhusu sehemu za kenya ambazo raia wanamiliki silaha za moto kwa ajili ya kujilinda?
Bandits?
Kuna sehemu pia walimu wanaomba kupewa silaha ili wajilinde nazo? Au hiyo sehemu haipo kenya!
Kazi ya jeshi lenu na hizo vikosi ni nini hasa?
Ooh nilitaka kusahau na hii...wanamgambo pia wameanza kukusanya kodi ndani ya kenya [emoji23][emoji23][emoji23]
MY TAKE: Hii inatokea wakati wanaume wa kazi wamerejea nyumbani toka Msumbiji ambako kwa wiki mbili tu walitembeza kichapo na kusambaratisha magaidi waliosumbua kwa zaidi ya miaka mitatu na kuteka eneo kubwa la kaskazini mwa Msumbiji.
www.jamiiforums.com
Pamoja na Vikosi vya Jeshi la ulinzi la kenya kuweweka Kambi nchini Somalia kwa takribani Muongo mmoja. Juhudi zao zinaonekana kuwa ni Kazi bure badala yake ni upotevu wa Muda, pesa za walipakodi maskini wa Kenya pamoja na Vifo vingi sana vya Wakenya wasio na Hatia pamoja na mamia ya...
www.jamiiforums.com