Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivyo ndivyo akili za mgando hureason. Anafaa ajiulize ni kwa nini Nairobi ni ndogo kieneo lakini imebeba watu million nne wakati Dar ina ukubwa mara mbili ya Nairobi but has only five million people. The answer is self-explanatory: Most people in Nairobi live in apartments that can accommodate more people. Sasa kama Dar inazidi Nairobi na apartments, iweje inashinda Nairobi with only one million people despite of its size?

Ama apartments zao ni hizi hapa View attachment 1692930View attachment 1692932View attachment 1692933View attachment 1692934View attachment 1692935
Nyie mnazaana km ngedere, huoni Kenya ni mara mbili ya Tz na tumewazd only 6ml?
 
Hivyo ndivyo akili za mgando hureason. Anafaa ajiulize ni kwa nini Nairobi ni ndogo kieneo lakini imebeba watu million nne wakati Dar ina ukubwa mara mbili ya Nairobi but has only five million people. The answer is self-explanatory: Most people in Nairobi live in apartments that can accommodate more people. Sasa kama Dar inazidi Nairobi na apartments, iweje inashinda Nairobi with only one million people despite of its size?

Ama apartments zao ni hizi hapa 😂 😂 😂View attachment 1692930View attachment 1692932View attachment 1692933View attachment 1692934View attachment 1692935
Au nasema urongooo🤣🤣👇👇
0FA8820E-F2CA-4704-9DEB-CFEB4DA97B81.jpeg
 
Hivyo ndivyo akili za mgando hureason. Anafaa ajiulize ni kwa nini Nairobi ni ndogo kieneo lakini imebeba watu million nne wakati Dar ina ukubwa mara mbili ya Nairobi but has only five million people. The answer is self-explanatory: Most people in Nairobi live in apartments that can accommodate more people. Sasa kama Dar inazidi Nairobi na apartments, iweje inashinda Nairobi with only one million people despite of its size?

Ama apartments zao ni hizi hapa View attachment 1692930View attachment 1692932View attachment 1692933View attachment 1692934View attachment 1692935
Jamaa tangu mwaka juzi picha zake ni hz hz tu
 
Kijichi hio 🤣🤣🤣👇👇👇👇 Mtu anafananisha concrete jungle city na ushuzi
Eti anafananisha newyork na nairobi hahaha wallah mumerogwa nyinyi
 
Wait,that is a part of kariobangi and it seems to be ok...Tell us how the whole of kariobangi ward is...Even some parts of manzese equals other planned areas but you know most of it is not planned
To begin with, Kariobangi is not a ward. Secondly, I can show you different parts of Kariobangi but that won't change yourviews and opinion about the area. But for the sake of information, tell me how these places below in Kariobangi are slums
Screenshot_20210202-235255~2.png
Screenshot_20210202-235157~2.png
Screenshot_20210202-234447~2.png
Screenshot_20210202-235819~2.png
Screenshot_20210203-000243~2.png
Screenshot_20210203-000140~2.png


While these ones in Dar are not
Screenshot_20200218-010839.png
Screenshot_20200216-004315.png
Screenshot_20200228-131720.png

Explain to me like a two-year old
 
Hivyo ndivyo akili za mgando hureason. Anafaa ajiulize ni kwa nini Nairobi ni ndogo kieneo lakini imebeba watu million nne wakati Dar ina ukubwa mara mbili ya Nairobi but has only five million people. The answer is self-explanatory: Most people in Nairobi live in apartments that can accommodate more people. Sasa kama Dar inazidi Nairobi na apartments, iweje inashinda Nairobi with only one million people despite of its size?

Ama apartments zao ni hizi hapa View attachment 1692930View attachment 1692932View attachment 1692933View attachment 1692934View attachment 1692935
Hiyo sio sababu Tz watu wako spread kwenye mikoa mingine ambayo ina facilities kama za Dar unlike Kenya maendeleo yote yamekuwa concentrated Nairobi so people have to flock in na wala sio issue ya apartment majority ya mid and low income Kenyans live in slums.
 
Jamaa siku zote kitu anachoona yeye ni dili ni apartment tu, yn yeye hana kingine cha ku offer zaidi ya apartments tu asubuhi, mchana, jioni anawaza apartment tu si bora wangekuwa wanaishi Wakunya basi
yaani makazi yao kila siku ni hayo hayo na hayalingani na wingi wa eakazi wanaoishi nairobi,,,,

wana hide maeneo
 
Dar inafaa icheze na watu milioni kumi km kweli imejaa appartments
Yani muinusenuse new york
Haiwezekani eti ijae appartments kibao alafu population iwe juu na milioni moja tu kuliko nai ndogo yenye appartment chache
Dar population ni 6 million for your information.
 
Jamaa anataka kutudanganya eti eneo la 1600km² limejaa appartments kibao
Tony254 njoo huku umfunze huyu mwehu, eti eneo la 1600km² lijae appartments alafu population isifike milioni kumi
Huyo ichoboy01 ni fala. Nimeshamuambia kuwa kwa sababu Nairobi (tusipoinclude Nairobi metro) ni ndogo kieneo kushinda Dar, inabidi tujenge kuelekea juu ndio maana most Nairobians wanaishi kwenye apartments na yeye hataki kusikia.

Cc Nicxie
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yes zingine mzungu anawaonea tu 😁😁😁😁😁



Zaidi ya 80% ya landmass ya Nairobi sio slums bali ni estates za apartments au private houses. Wewe endelea kuonyesha slums as if slums zinacover eneo kubwa la Nairobi. Slums zinacover eneo ndogo ya Nairobi. Narudia tena most Nairobians wanaishi kwenye apartments. Wewe nenda kalilie chooni kama hupendi ukweli huo.
Hata hio Kibera ambayo ni biggest slum in Kenya na ambayo mnaodanganya watu kwamba millions of Nairobians wanaishi pale kumbe ina only 200,000 people. Kumbuka Nairobi ina 4.5 million people. Narudia tena most Nairobians live in apartments.

Cc komora096 Nicxie
 
Basi mwenzetu anasema kwao kumejaa appartments kibao, lkn kinachonishangaza population sasa
Iweje sasa jamani na ninavyojua mimi eneo la 1600km² likijaa appartments population haitocheza chini ya milioni kumi
Upo sahihi. Dar ikijaa apartments ina maana kwamba population imepiga 15 million. Maana hamuwezi kuwa na apartments nyingi kwenye eneo kubwa na population ibaki kuwa ndogo.
 
So world bank ni waongo sawa 🤣🤣👇👇


Neno real Estate ni tofauti kidogo na neno apartments kwa kiasi fulani maana real estate includes apartments plus other types of properties. All apartments are real estate but not all real estate are apartments. Neno real estate kwa lugha ya yakhe kama wewe inamaana la jengo. Kwa hivyo inaweza kuinclude office buildings, malls, residential apartments na hata bungalows na mansions zote ni real estate lakini sisi tunazungumza kuhusu apartments pekee. Nyinyi inaweza kuwa kwamba mna bungalows nyingi maana kila mtu amepewa kiwanja chake na CCM cha kupandia mboga na kufugia kuku na ng'ombe. Yaani mna nyumba ambazo sio za ghorofa nyingi kushinda Nairobi.
 
2.5ml out of 5ml wanaishi kibra na zen 2.5 zilizobaki ndo wanagawana kwenye maslums mengine na kdg foreigners wanaoishi kwenye apartments.
Toa ujinga hapa. Kibra ina 200,000 people only. Hio 2.5 million umeitoa kwenye kwapa lako.
 
Back
Top Bottom