Matumizi makubwa ya umeme kwasababu ya heating during winter? Very wrong.
Source kubwa ya heating Ulaya ni gas kwa mfumo wa central heating. Nitakupa mfano wa UK ambao ni almost same na nchi zote za EU.
Central heating hence gas heating inatumika Kwa 85%. Umeme unatumika kwa only 6%. Why kwasababu over 90% ya nyumba zina central heating system inayotumia gas. Ukitaka naweza kukufafanulia how central heating system works.
Tukija kwenye cooling napo ambapo ni during summer umeme ni kama 10% hivi. Hamna kitu muhimu kwenye energy Ulaya kama gas. Na hata Russia (ambako gas nyingi inayotumika EU inatoka) anawakomoa sana EU kwa kutumia gas yake.
Pia heating inahitajika zaidi Ulaya kwasababu kipindi cha baridi ni kirefu kuliko joto.
View attachment 1692443