Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe bongolala kazi yako ni kulialia tu kama mbwa koko. Tukileta picha za the greener sides of Nairobi, unakerwa na kusema Nairobi ni misitu tu na kwamba haijajengeka. Tukiletaa sehemu ziko na density ya juu unaanza kulalama eti kazi ni kuleta tu apartments. Sasa unataka tulete picha za dreamhouses wakati sisi hatuna huo mfumo? [emoji23]

Tuletee hizo apartments zenu tuone. Not just selected buildings. Tuletee picha Kama hizi hapa chini of different places in Dar
View attachment 1692606View attachment 1692608View attachment 1692611
Basi utazunguka umuhumu hahahahaaa, mzee wa apartments [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Na nyinyi muanze kupanga zile dream houses zenu. Na msisahau kutumia bati zizizoliwa na rust [emoji23] [emoji23]
hili nalo ni swala la miaka 3 tu,story itabadilika huku.

hizo shanties unazoziona magomeni,vingunguti na mbagala zintoweka kwa kasi ya mwanga.
 
hili nalo ni swala la miaka 3 tu,story itabadilika huku.

hizo shanties unazoziona magomeni,vingunguti na mbagala zintoweka kwa kasi ya mwanga.
Ndugu mbona usiwe mkweli? Mbona zimetapakaa tu kila mahali save for the rich neighborhoods?
 
Na nyinyi muanze kupanga zile dream houses zenu. Na msisahau kutumia bati zizizoliwa na rust [emoji23] [emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
JamiiForums-1964015688.jpg
 
Ndugu mbona usiwe mkweli? Mbona zimetapakaa tu kila mahali save for the rich neighborhoods?
dsm ni jiji la ujamaa,sio ajabu kukutana na nyumba ya kawaida kabisa masaki,mbweni,sala sala,mbezi beach.
au kukutana na nyumba kali hayo maeneo niliyokuandikia hayana mpangilio.
 
Ndo nawe umetafuta slums in Dar [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wenzako wote humu wanajua no slums in Tz.

Btw hakuna dongo km hilo huku labda hilo dongo ulikute Nairobi, so rudisha ulikoitoa hyo picha.[emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]
Stop living a lie
 
Back
Top Bottom