Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tofaut ya new york na city zetu ni kitu kimoja, newyork ni developed city wakat za kwetu ni developing city [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yani ni sawa na mbingu na ardhi
Unamaana ardhi za developed cities huaga ni za ghorofa sio[emoji2960][emoji2960]
Huaga zina layers ndio manake zina watu wengi lkn ardhi ndogo sio, watu wanaishi kw layers[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kibera huwa ni kitulizo cha maumivu kwao. Kila wanapogusiwa hoja na wakose jibu, wote wanakimbia hadi kibera kama nyumbu angalau kujifariji [emoji23] [emoji23] Huwa nabaki nikicheka most of the time
Dar imeizidi kibera kw akili zao mgando wala sio nairobi kw ujumla[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo hapo basi hawatokubali, jama kaletewa eastlands naona katamauka
 
Hoja kwisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umebaki na maneno ya khanga tu[emoji2960]
Kama haya ni maneno matup basi ungekuwa bongo ningekupeleka mirembe...kuna tatizo kwa ubongo wako,[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums-813550411.jpg
 
Wewe endelea kuteseka na kupiga kelele. Wengine wenu washajua ukweli iko wapi
[emoji3][emoji3]basi leo hulali.

kwani hujawahi ona uzi umefunguliwa humu wa kulalamikia ujenzi holela wa makazi dsm???

mind you ni ujenzi,sio uwekaji wa mabati.
 
Dar imeizidi kibera kw akili zao mgando wala sio nairobi kw ujumla[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo hapo basi hawatokubali, jama kaletewa eastlands naona katamauka
At times, I do think that they only compare Dar with Kibera. Wametafuta kitu cha kulinganisha na Dar from Nairobi wakakosa and the closest they found is Kibera
 
At times, I do think that they only compare Dar with Kibera. Wametafuta kitu cha kulinganisha na Dar from Nairobi wakakosa and the closest they found is Kibera
Yani kila siku wanatafuta lkn zii, lkn tuwaache waendelee kujioumbaza tu.
Manake hata ni aibu mazee
 
Kibera huwa ni kitulizo cha maumivu kwao. Kila wanapogusiwa hoja na wakose jibu, wote wanakimbia hadi kibera kama nyumbu angalau kujifariji 😂 😂 Huwa nabaki nikicheka most of the time
So hapo imetajwa kibera pekee au??🤣🤣👇 nairobi kuna slums hazipungui 40 sasa kwann unaionea kubera tu
3C3F3643-6808-42A8-AC95-E76A408CD782.png
 
Jibu swali nililokuuliza [emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116]
Unalinganisha mpangilio wa masaki na kibera kisha unakuja kujisifia hapa[emoji1787][emoji1787]
Emu leta wa tandale kw tumbo tulinganishe na kibera
 
Unamaana ardhi za developed cities huaga ni za ghorofa sio[emoji2960][emoji2960]
Huaga zina layers ndio manake zina watu wengi lkn ardhi ndogo sio, watu wanaishi kw layers[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
So density ya gorofa newyork utafananisha na nairobi au dar??? Hebu tuanzie hapo😀😀
 
Uliyemuazima akili zako nakwambia karogwa kafa[emoji1787][emoji1787]
Ndio manake ukipigwa kw hoja unazunguka zunguka tu hku ukitafuta pa kutokea
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] embu weka iyo hoja ..kama sio ushuzi huna tofauti na ilo genge la wahuni...eti wanajesh[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116]
JamiiForums238863632.jpg
 
Unalinganisha mpangilio wa masaki na kibera kisha unakuja kujisifia hapa[emoji1787][emoji1787]
Emu leta wa tandale kw tumbo tulinganishe na kibera
So kibera ipo jahanam au nairobi au hauitaki 🤣🤣🤣🤣🤣
 
So density ya gorofa newyork utafananisha na nairobi au dar??? Hebu tuanzie hapo[emoji3][emoji3]
Hehehe!!sasa mbna mnakataa wakenya waishi kw appartments na kumbe developed cities zimejaa[emoji1787][emoji1787]

Ukweli ni appartments zimejaa nairobi kuliko dar
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] embu weka iyo hoja ..kama sio ushuzi huna tofauti na ilo genge la wahuni...eti wanajesh[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116]View attachment 1692894
We nishakurusha akili tayari[emoji1787][emoji1787]
Hoja gani hyo na tayari umeshawehuka
 
Hehehe!!sasa mbna mnakataa wakenya waishi kw appartments na kumbe developed cities zimejaa[emoji1787][emoji1787]

Ukweli ni appartments zimejaa nairobi kuliko dar
Kwa density gani mlionayo zaidi ya misitu manake density hazionekani au invisible 🤣🤣 so unataka leo kujidanganya nairobi ina magorofa mengi kuliko dar?? Hebu leo nijibu hili swali
 
Back
Top Bottom