Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hata kwenye Chai hawatuzidi, issue ni kwamba Kenya ndio auction market ya Chai karibu yote ya ukanda huu inaenda kuuzwa Mombasa so ni takwimu za Chai za mataifa mengine pia zinajumlishwa kama zote za Kenya
Tangu lini Tanzania mkatushinda kwa kupanda michai?
 
Zamani kidogo Nilipokuwa nafanya research yangu fulani niligundua kwamba jambo moja inayofanya nchi za ulaya kuwa na matumizi makubwa ya umeme ni kwa ajili ya heating during winter. Wanatumia heated gas ila pia wanatumia airconditioning systems na systems zingine zinatumia umeme. Halafu wakati wa summer nao wanatumia cooling systems ambazo nazo zinanyonya umeme kama maji. Kwanza uarabuni wanatumia airconditioning systems sana na hio inanyonya umeme kwa wingi. Sasa Africa tumebarikiwa na climate nzuri, hakuna baridi kali sana ya kufanya mtu ahitaji heating system na hakuna joto kali ya kumfanya mtu anunue cooling system. Good climate imechangia Sub saharan Africa kutotumia umeme kwa wingi. Kuna statistic moja nakumbuka nilisoma kwamba wakati wa summer huko California, kuna wakati 30-40% ya electricity consumption ni kwa sababu ya cooling the houses through air conditioning systems. So usione ulaya wanatumia umeme mwingi ukadhani kwamba umeme huo wote unatumika kwa sababu ya kuendesha mitambo na mashine ya viwanda, la hasha, 20% to 40% ya umeme huo unaenda kuheat au kucool their houses. Na hapa Africa hatuna haja ya kuheat au kucool our houses because of the perfect climate ambayo tumebarikiwa nayo na Mwenyezi Mungu.
Geza Ulole ulipinga hii comment na saa hii ina 14 likes za Watanzania wenzako? 🖕
 
watu bana
‘usiseme hakuna hela, sema hauna hela ‘
IMG_1612254978.107638.jpg
 
Wengine hapa ni Kelele tu kila kuchao, wanashinda mchana kutwa jf wakilia ohhh electric sgr ohhh bullet train ilhali wameshindwa kukamiliza ujenzi wa sgr yao😂😂

Meanwhile three years ago Kenya started the first double stack rail cargo transport in East Africa 👇👇

 
Wengine hapa ni Kelele tu kila kuchao, wanashinda mchana kutwa jf wakilia ohhh electric sgr ohhh bullet train ilhali wameshindwa kukamiliza ujenzi wa sgr yao

Meanwhile three years ago Kenya started the first double stack rail cargo transport in East Africa



treni inalialia ngo ngo ngo utafikiri ng’ombe anapigwa shoka afu mmespeediisha video ili ionekane inakimbia haraka kumbe ni mwendo wa kinyonga
 
Back
Top Bottom