Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya have more groups of elite squads than I thought. I have never seen these two.

This one was spotted yesterday guarding Ruto
View attachment 1692488

These ones have been spotted today.

View attachment 1692489View attachment 1692490View attachment 1692491
Ruto katoa contract kwa private intelligence unit na private protection units kutoka sehemu mbali mbali. Hategemia sana ulinzi wa serikali. Kosa ndio linaanzia hapo kwa ka nchi kadogo cha hovyo kurasimisha haya makampuni ya kibinafsi kufanya kazi sensitive kama hizo.
 
IMG_5256.jpg

IMG_5259.jpg

IMG_5263.jpg

IMG_5264.jpg

IMG_5265.jpg
 
Wote Stadium under construction. So far 12 Such stadiums are under construction in Kenya
EtNr7ylXMAAnFEy.jpg
 
So hizo sehemu ambazo hao wanamgambo wanazivamia haziko kenya?
Au kenya ni hayo maeneo machache uliyo yataja?
Vipi kuhusu sehemu za kenya ambazo raia wanamiliki silaha za moto kwa ajili ya kujilinda?
Bandits?
Kuna sehemu pia walimu wanaomba kupewa silaha ili wajilinde nazo? Au hiyo sehemu haipo kenya!
Kazi ya jeshi lenu na hizo vikosi ni nini hasa?

Ooh nilitaka kusahau na hii...wanamgambo pia wameanza kukusanya kodi ndani ya kenya [emoji23][emoji23][emoji23]


Maneno tu hata juzi our special forces that have been training in Britain walikuja and they already captured 3 masterminds
 
Jamaa siku zote kitu anachoona yeye ni dili ni apartment tu, yn yeye hana kingine cha ku offer zaidi ya apartments tu asubuhi, mchana, jioni anawaza apartment tu si bora wangekuwa wanaishi Wakunya basi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Stop being bitter. Ulisema Nairobi kila kona ni slums. Kumbe ulibakisha macho na akili ya kuona apartments? Sisi tunajenga apartments tena in organized estates, nyinyi mnajenga dreamhouses zilizotapakaa kila mahali. Mbona unataka na sisi pia tujaze jiji letu na dream houses? Ili liweje?
 
Kenya nzima ni uozo kushoto kulia, unaleta vipicha viwili vitatu mnavyopiga ktk angle fulani mnaacha maisha yenu halisi [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]
JamiiForums1357317095.jpg
Screenshot_2020-10-14-08-32-56.jpg
Screenshot_20201230-104616.jpg
JamiiForums405729784.jpg
 
Back
Top Bottom