Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Maneno tu hata juzi our special forces that have been training in Britain walikuja and they already captured 3 masterminds
Wewe ndio ulikuwa unatudanganya humu kuwa mmeanza kuunga mitungi ya changaa na umeme?
 
Ruto katoa contract kwa private intelligence unit na private protection units kutoka sehemu mbali mbali. Hategemia sana ulinzi wa serikali. Kosa ndio linaanzia hapo kwa ka nchi kadogo cha hovyo kurasimisha haya makampuni ya kibinafsi kufanya kazi sensitive kama hizo.

Haha ..Kenya wanapenda kuiga wazungu sana
 
Zimepangika ziko wapi, ukibanwa kdg tu unakimbilia apartments hususan visehemu vichache wanavyoishi wenye Kenya yao while majority of you are living here View attachment 1692565View attachment 1692566View attachment 1692567View attachment 1692568View attachment 1692569View attachment 1692571
😂 😂 😂 bongolala, ungejua tu vile napenda unavyoumia!! Picha nilizoleta ni za mitaa za kawaida sana kule Eastelands, where the majority of Nairobians live na zilikuwa za sehemu mbili tu: Donholm na Komarock estates. Hizi si mitaa za wenye hela. These are Middle income areas. Ukitaka mitaa za wenye hela sema nikuletee urembeshe macho 😂
 
Wanajua hii squad kwale?

This one, Ranger Strike Force, formed in 2017 has completed training in Jordan.
EWxvIvyXQAsfn42.jpg
EWtemunWAAEAzaz.jpg


BcGKkhoCMAA5c1X.jpg
BcF4ZXkCcAAzbF4.jpg
BcGLLHACQAEUFqr.jpg
 
bongolala, ungejua tu vile napenda unavyoumia!! Picha nilizoleta ni za mitaa za kawaida sana kule Eastelands, where the majority of Nairobians live na zilikuwa za sehemu mbili tu: Donholm na Komarock estates. Hizi si mitaa za wenye hela. These are Middle income areas. Ukitaka mitaa za wenye hela sema nikuletee urembeshe macho
Kuna siku hujaleta apartments humu hahahahaaa kitu umebaki nacho ni apartments wkt kwetu zipo na zinazd kujengwa zingine na usisahau we are ahead of you as far as the term apartment is concerned
 
Kuna siku hujaleta apartments humu hahahahaaa kitu umebaki nacho ni apartments wkt kwetu zipo na zinazd kujengwa zingine na usisahau we are ahead of you as far as the term apartment is concerned
This a huge lie and you know
 
Hapa chini mahali nimehighlight na rangi nyekundu wewe umesema kwamba tukija kwenye cooling matumizi ya umeme ni 10% kisha ukasema kwamba hakuna kitu muhimu kama gas. Hio ni kumaanisha kwamba gas ni 90%. Sasa leta evidence ya hio
Oh please. Wewe ni mgumu kusoma na kuelewa?
Heating- energy inayotumika gas kwenye heating ni 85%, umeme ni kama 6% hapa inaonesha matumizi ya umeme kwenye heating ni madogo sana.
Cooling- Umeme unaotumika kwenye cooling (UK) ni 10% tu ya umeme wote. Maana yake ni kuwa hata cooling hawatumii kiasi kikubwa cha umeme.
Sasa wewe kutuambia kuwa wanatumia sana umeme kwenye heating and cooling sio kweli.
 
Kuna siku hujaleta apartments humu hahahahaaa kitu umebaki nacho ni apartments wkt kwetu zipo na zinazd kujengwa zingine na usisahau we are ahead of you as far as the term apartment is concerned
Wewe bongolala kazi yako ni kulialia tu kama mbwa koko. Tukileta picha za the greener sides of Nairobi, unakerwa na kusema Nairobi ni misitu tu na kwamba haijajengeka. Tukiletaa sehemu ziko na density ya juu unaanza kulalama eti kazi ni kuleta tu apartments. Sasa unataka tulete picha za dreamhouses wakati sisi hatuna huo mfumo? 😂

Tuletee hizo apartments zenu tuone. Not just selected buildings. Tuletee picha Kama hizi hapa chini of different places in Dar
images (47).jpeg
images(288).jpg
momb3.jpg
 
Back
Top Bottom