Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Asante. Umeelezea vizuri. Ni sharti muendelee kutumia Kinyerezi power plant hadi mrudishe investment mliyoweka ndani. Hata kama itatumika kama peak load maana hydropower ndio itakuwa base load yenu maana ni cheaper. Anyway ni vizuri tumeelewana hapo kwamba mitambo lazima zirun hadi zirudishe investment iliyomwagwa kule ndani.
Tony my bro viwanda vikubwa vinahitaji nishati ya kutosha,hatuwezi kuwavutia wawekezaji pasipokuwa na nishati, kwahyo kinyerezi 1-2 na nyerere hydropower vyote ni potential kwa tz tena sana,tunahitaji nishati ya kutosha ili tuweze kuvutia uwekezaji .wenye akili hapo wanaona maviwanda makubwa,wanaona upatikanaji wa umeme nchi nzima bila kukatika katika Tena kwa bei nafuu,wanaona ukuaji wa uchumi kwa kasi .ngoja nikutaftie story ya hiyo mwalimu nyerere hydropower plant ili ujue ni kwann tunaijenga
 
Hebu chunguza nyumbani kwako. Unajua katika vifaa vyote ambavyo unamiliki nyumbani, vifaa vinavyonyonya umeme kama uji ni vile vinavyoheat jambo fulani. Kwa mfano kuna heater ya maji ambayo huwa inakula umeme bila mchezo. Hata kale kaheater kadogo ambako unatumbukiza ndani ya jug ya maji pia kana around 1,000 watts. Pasi nayo inatumia hata 2,000 watts kulingana na pasi unayotumia. So unaweza kuimagine mashine ambayo inacool hewa iliyo ndani ya nyumba yako wakati wa joto hadi hewa hiyo iwe cool itatumia watts ngapi?
Tazama hapa watts za airconditioning system ya nyumba moja halafu multiply na millions of houses in a city.

View attachment 1691868
Air conditioning haitumii "heating system", hutumia electricity to rotate motors the same as refrigerators and washing machines.
 
Air conditioning haitumii "heating system", hutumia electricity to rotate motors the same as refrigerators and washing machines.
Nikisema heating system namaanisha space heating and space cooling. Ukisoma post yangu polepole bila mbwembwe utaona kwamba mimi mwenyewe nimesema systems hizi zinatumia umeme. So hakuna kitu mpya umesema. Kwani unadhani nilisema hizi systems hazitumii umeme? Nionyeshe ni wapi kwa comment yangu nilisema kwamba airconditioning haitumii umeme?
 
Nani anakumbuka hii 👇 .
Screenshot_20210202-062326~2.png
tutegemee soon kuwa na taswira mpya ya dsm
 
. Hapo vipi komora096 kwenye suala la kilimo mtuache kidogo mnatuzidi kwenye kulima chai tu lakini sio kitu kingine chochote

Hata kwenye Chai hawatuzidi, issue ni kwamba Kenya ndio auction market ya Chai karibu yote ya ukanda huu inaenda kuuzwa Mombasa so ni takwimu za Chai za mataifa mengine pia zinajumlishwa kama zote za Kenya
 
Yani nitamani miti au???
Hakuna density nachoona ni misitu ndio imejazana au nasema urongoo🤣🤣🤣 ulipoona picha majengo hayaonekani ukaona uje ujifanye unapenda sana miti acha ujinga wewe
 
Back
Top Bottom