Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sijakuelewa. Sijui unapinga nini hapo. Sema unapinga nini kwa kauli niliyotoa ili nikuelewe
Wana efficient heating systems na hata maghorofa Africa siku hizi hayatumii direct heating bali heat pumps for cooling! Ni kitu ambacho sijui kama unaweza ukaelewa usipokuwa mtu wa engineering ila hutumia principles za geothermal au kwa urahisi fridge (properties za air au water at atmospheric pressure)! Based on Ground soil properties zinawezesha kuvuna heat!
 
Halafu siongei tu kama fala. Hizi heating systems na cooling systems nimeziona kwa macho. Kwa hivyo siongei tu kama mtu mjinga ambaye hajui anachosema. Kama unapinga kauli sema unapinga wapi nikuletee facts hapa. Unanijua mimi siongei kama siwezi back-up nilichosema.
Zinafanyaje kazi?
 
Sikujua kama % kubwa ya umeme inaenda uko kwa wazungu..but it makes sense maana hapa nyumbani ukiwasha heater tu bili haieleweki heater unakut ina watts 900 hadi 1200 nyingne ..hio ni point pia ..but tutafika stage hizo hasa kwa huku Dar muhimu kuwa na A/c kipind flan
Hebu chunguza nyumbani kwako. Unajua katika vifaa vyote ambavyo unamiliki nyumbani, vifaa vinavyonyonya umeme kama uji ni vile vinavyoheat jambo fulani. Kwa mfano kuna heater ya maji ambayo huwa inakula umeme bila mchezo. Hata kale kaheater kadogo ambako unatumbukiza ndani ya jug ya maji pia kana around 1,000 watts. Pasi nayo inatumia hata 2,000 watts kulingana na pasi unayotumia. So unaweza kuimagine mashine ambayo inacool hewa iliyo ndani ya nyumba yako wakati wa joto hadi hewa hiyo iwe cool itatumia watts ngapi?
Tazama hapa watts za airconditioning system ya nyumba moja halafu multiply na millions of houses in a city.

Screenshot_20210201-201446.jpg
 
Zinafanyaje kazi?
Wewe ni engineer mimi sio engineer. Sasa vipi unataka nikuelezee jinsi zinavyofanya kazi? Just because niliziona kwa macho na zipo kwa kila room ya kila jengo haimaanishi kwamba ninaweza kukuelezea the physics behind their operation.
 
Wana efficient heating systems na hata maghorofa Africa siku hizi hayatumii direct heating bali heat pumps for cooling! Ni kitu ambacho sijui kama unaweza ukaelewa usipokuwa mtu wa engineering ila hutumia principles za geothermal au kwa urahisi fridge (properties za air au water at atmospheric pressure)! Based on Ground soil properties zinawezesha kuvuna heat!
Hapa tunakubaliana. Kwa hivyo ulikuwa unapinga nini?
 
Wakenya mnatukimbiza kwa matumizi ya itel. Hizi takwimu zinatuonesha namna ya maisha ya mtu mmoja mmoja kati ya Kenya na Tanzania
View attachment 1691871
Bado wanakwambia wao ndio wanaongoza kwa Internet penetration [emoji3][emoji3]

Alafu kusema ukweli hii tafiti haiongopi kabisa, km unabisa chunguza Wakenya wengi humu wanatumia itel tena zile za toleo la zamani kabisa.

Kuna mkenya mmoja humu ID yake ni kubwa tu humu lkn alikuwa anatumia Tecno ya 2015[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hapa tunakubaliana. Kwa hivyo ulikuwa unapinga nini?
Kwamba hali si mbaya hivyo wameweza kujikwamua na renewable heat efficient systems kwenye majengo! Siku hizi ni nadra sana kukuta majengo marefu au hata halls zikitumia heater za umeme!
 
Kwamba hali si mbaya hivyo wameweza kujikwamua na renewable heat efficient systems kwenye majengo! Siku hizi ni nadra sana kukuta majengo marefu au hata halls zikitumia heater za umeme!
Hio ni kweli only in some countries or some buildings ila sio wote wanaotumia efficient space heating and cooling systems. Wengine bado wanatumia inefficient systems zinazonyonya umeme mwingi. Globally space heating and cooling bado inaconsume alot of power in some countries with inefficient systems

Screenshot_20210201-203201.jpg
 
Hio ni kweli only in some countries or some buildings ila sio wote wanaotumia efficient space heating and cooling systems. Wengine bado wanatumia inefficient systems zinazonyonya umeme mwingi. Globally space heating and cooling bado inaconsume alot of power in some countries with inefficient systems

View attachment 1691885
EU27 r doing pretty good!
 
Leo nilikuwa mawasiliano, nikasema ngoja niende zangu ubungo kidgo kumtumia dogo mzigo, nikapata wazo ngoja niende na miguu, ile mitaa sijapita muda, meter 20 mbele Baada ya kutoka stend ya mawasiliano nikaona watu wanakata Kona kushoto kwa miguu, ikabd niulize hii njia inaenda wapi?, nikajibiwa hii njia unatokea ubungo hapo

Si ndo nikapita na mimi, kumbe ile njia inapita mto sinza pale na ni concrete mwanzo mwisho, ajabu ile njia wamejenga na brt road na washaandaa kabsa ile concrete structure ya stendi ya brt, nikajiuliza hii Ni phase gani Tena?

Ubungo mule ndani washaanza kubomoa, nikauliza wadau humu wanabomoa wanataka kujenga nini, wakaniambia wanataka kujenga supermarket kubwa sana pale

Note: Kuna mizigo saiv inaenda kimya kimya, majirani jiandaeni
 
Leo nilikuwa mawasiliano, nikasema ngoja niende zangu ubungo kidgo kumtumia dogo mzigo, nikapata wazo ngoja niende na miguu, ile mitaa sijapita muda, meter 20 mbele Baada ya kutoka stend ya mawasiliano nikaona watu wanakata Kona kushoto kwa miguu, ikabd niulize hii njia inaenda wapi?, nikajibiwa hii njia unatokea ubungo hapo

Si ndo nikapita na mimi, kumbe ile njia inapita mto sinza pale na ni concrete mwanzo mwisho, ajabu ile njia wamejenga na brt road na washaandaa kabsa ile concrete structure ya stendi ya brt, nikajiuliza hii Ni phase gani Tena?

Ubungo mule ndani washaanza kubomoa, nikauliza wadau humu wanabomoa wanataka kujenga nini, wakaniambia wanataka kujenga supermarket kubwa sana pale

Note: Kuna mizigo saiv inaenda kimya kimya, majirani jiandaeni
Hii yote umeandika kwa mbwembwe kwa sababu wanajenga supermarket mpya? Hahaha. Mna vituko sana.
 
Back
Top Bottom