tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Inafikirisha hao jamaa wanamaviwanda makubwa kiasi gani Huo umeme na usitoshe...Yani tukichanganya kenya Tanzania na Uganda Burundi na Rwanda wala hatumalizi 5000MW hivi tupo serious kweli?[emoji23][emoji23][emoji23]are we normal[emoji2][emoji2]ila wewe jamaa aina yako ya kufikiri inafikirisha sana.
tangu lini umeme ukatosha kwenye nchi zinazoendelea???
SA wanazalisha MW 45000 na bado wanakata kata umeme,unapata picha gani ukisoma hapo???