Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tony254 najua unanielewa🤣🤣🤣

90BA3B5B-37AF-4465-B4A8-FD59CD5B0619.jpeg
 
Leo nilikuwa mawasiliano, nikasema ngoja niende zangu ubungo kidgo kumtumia dogo mzigo, nikapata wazo ngoja niende na miguu, ile mitaa sijapita muda, meter 20 mbele Baada ya kutoka stend ya mawasiliano nikaona watu wanakata Kona kushoto kwa miguu, ikabd niulize hii njia inaenda wapi?, nikajibiwa hii njia unatokea ubungo hapo

Si ndo nikapita na mimi, kumbe ile njia inapita mto sinza pale na ni concrete mwanzo mwisho, ajabu ile njia wamejenga na brt road na washaandaa kabsa ile concrete structure ya stendi ya brt, nikajiuliza hii Ni phase gani Tena?

Ubungo mule ndani washaanza kubomoa, nikauliza wadau humu wanabomoa wanataka kujenga nini, wakaniambia wanataka kujenga supermarket kubwa sana pale

Note: Kuna mizigo saiv inaenda kimya kimya, majirani jiandaeni
Imajengwa East Africa Commercial and Logistics Center
20210201_234329.jpg
20210201_234414.jpg
20210201_234504.jpg
20210201_234535.jpg
 
Nini hiki mkuu.

Wapi hapo kaka?

navyojua ni apartment mpya za wachina ndo zinajengwa sehem mbalimbali

moja ziko masaki kama unaenda UNHCR

nyingine mikocheni.. ziko katikat ya kawe na palm village beach

kuna nyingine iko oysterbay jiran na ubalozi wa uturuki

kuna nyingine iko oysterbay kama unaelekea coco beach ukitokea pizza hut
 
Hebu chunguza nyumbani kwako. Unajua katika vifaa vyote ambavyo unamiliki nyumbani, vifaa vinavyonyonya umeme kama uji ni vile vinavyoheat jambo fulani. Kwa mfano kuna heater ya maji ambayo huwa inakula umeme bila mchezo. Hata kale kaheater kadogo ambako unatumbukiza ndani ya jug ya maji pia kana around 1,000 watts. Pasi nayo inatumia hata 2,000 watts kulingana na pasi unayotumia. So unaweza kuimagine mashine ambayo inacool hewa iliyo ndani ya nyumba yako wakati wa joto hadi hewa hiyo iwe cool itatumia watts ngapi?
Tazama hapa watts za airconditioning system ya nyumba moja halafu multiply na millions of houses in a city.

View attachment 1691868

Eh uko sawa mzee....hio basic physics ya kidato cha kwanza kama sio cha pili tena kwa siku hizi hata la 6 au la 5 anasoma hyo
 
Back
Top Bottom