Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
Yani ww hata basic za uchumi ujuiKwhyo kibongo bongo serekali ndio inamiliki uchumi
Yani ww hata basic za uchumi ujuiKwhyo kibongo bongo serekali ndio inamiliki uchumi
Value ya gdp ya kenya bado ipo pale pale, mzembe ni mzembe..Ww nenda kacheze unapo chezaga .... ukiwa hujui kitu funga bakuli
Ndio ujibu hilo swali mwanauchumiYani ww hata basic za uchumi ujui
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] opinion za mtu mmoja utaipa mzigo ghana nzima......Skiza opinion ya Mghana kuhusu Kenya ambae ame tour Kenya sio wenzako wanadanganya wameishi Kenya ukiwauliza swali wanahepa.,watch his clips zenye ame tour different places across Kenya., hakuna propaganda ama wivu., facts speak louder
Jibu lko ni rahisi tuKwhyo hutaki[emoji23][emoji23]
Nguvu kazi ndik kila kitu kenya
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Yosef Festo"Mabeberiu hao ndio hawatutakii mema"[emoji23][emoji23]
Wanatumika vinbaya na "mabeberu"
Kabla uhare hapa nipatie fomular ya kupata GDP kwanza kisha tuendeleValue ya gdp ya kenya bado ipo pale pale, mzembe ni mzembe..
Yani anajua ukiwa katika form yako hakupiti, tatizo nyie bado mumeshindwa na watu ambao walikua wamesitisha shughuli nyingi sana..
Tanzania kuipita kenya sahauni jamaa
Je opinion za mtu wa kutoka chato tunazifanyaje[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] opinion za mtu mmoja utaipa mzigo ghana nzima......
unaukichaaa
Kizuri kula nduguyo,kamcheck huko insta mwananchi mwenzangu 🤣Huyu anapatikana wapi?![]()
Unaita back-up..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yosef Festo
Sitaki mpka unijuze tz GDP kuhusu kumilikiwa na serekali ni kweliKabla uhare hapa nipatie fomular ya kupata GDP kwanza kisha tuendele
Kweli beauty lies in the eyes of the beholder[emoji23][emoji23]Tupate wadhamini kidogo, beautiful beibez from Tanzania a.k.a Tanzanitee [emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1687508View attachment 1687509View attachment 1687510View attachment 1687511View attachment 1687512View attachment 1687513View attachment 1687514View attachment 1687515
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]we manzi kumbe unaujua ukoo wetu...?Je opinion za mtu wa kutoka chato tunazifanyaje[emoji23][emoji23]
Yani kumbe wewe humjui wode maya, huyo jamaa ana exposure ya maana hata kuliko ukoo wenu wote
Hahahahaaaaa, huyu demu anajichosha sn yn ana comment mwenyewe alafu anaji quote mwenyewe[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwenzake anakubali fact yeye anakataa fact na ni mtu huyo huyo mmoja anajiharia
Tena kinyama jombaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]we manzi kumbe unaujua ukoo wetu...?
umetisha
Na wewe fungua account ukaji quote[emoji23][emoji23]Hahahahaaaaa, huyu demu anajichosha sn yn ana comment mwenyewe alafu anaji quote mwenyewe[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Geza Ulole ulitaka connection [emoji115][emoji115][emoji3][emoji3]Kizuri kula nduguyo,kamcheck huko insta mwananchi mwenzangu [emoji1787]