Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Usipate nao tabu mkuu, hata ile report ya millionaires walipinga mwanzoni mwisho wakakubali, unajua Wakenya huwa wanakubali ukweli pole pole mana wameongopewa kwa miaka mingi mno so hata hii pia wataikubali tu hakuna jinsi, twende nao taratibu wataelewa tu

From kenyan source.

huwa tunaenda nao taratibu
 
Ukweli hua inawatesa sana umekua heart broken pole sana, try something else,
ooohhhhh sisi tuna viwanda vingi na makampuni mengi ooh wawekezaji wamewekeza sana kenya ooh mara sisi matajiri ooh Tz malazy mara ooh sisi wakenya wachapa kazi....

baada ya porojo nyingi mwisho wa siku unemployment rate ipo high sijui hizo kampuni na viwanda ambavyo mnasema kuwa mnazo nyingi sijui huwa zinaajiri mawe,,,
huwa mnaishi kwa back historical life

najivunia kuwa mkenya....
na nimwgundua kitu kwa upande wa viwanda na makampuni tumewachapa
 
Compressed Natural Gas (CNG) Station. Uchumi Wa Kati. Tanzania Oyee
#TutaelewanaTu
IMG_1611935045.830431.jpg
IMG_1611935057.917963.jpg
IMG_1611935069.990223.jpg
IMG_1611935083.346895.jpg
 
Nilichojifunza humu kuhusu huyu jamaa Yosef Festo na komora096 hawa Ni maneno mengi sana , nimeweka miradi zaidi ya thelasini kwenye nyanja tofauti tofauti bongo iliyofanyika 2015-2020,wao wameweka maneno eti wanakwambia wana facts (Google) nimewadharau sana . Ubishani wa mambo kama haya ya ukuaji wa uchumi sio maandishi wazee ni kwa ground tu,itoshe kusema nowdays Kenyans tumewapiga karibu Kila kitu, Tony254 wewe ni muungwana sana kwenye ukweli najua unasema,watu wa aina yako ndio napenda kujibizana nao
 
Usipate nao tabu mkuu, hata ile report ya millionaires walipinga mwanzoni mwisho wakakubali, unajua Wakenya huwa wanakubali ukweli pole pole mana wameongopewa kwa miaka mingi mno so hata hii pia wataikubali tu hakuna jinsi, twende nao taratibu wataelewa tu

From kenyan source.

This👆👆 post by Brian Casey copypasted the fake news., get him on tweeter @thee_case u chat him, this time round hamuna pakutokea 😂😂😂😂😂
 
Nilichojifunza humu kuhusu huyu jamaa Yosef Festo na komora096 hawa Ni maneno mengi sana , nimeweka miradi zaidi ya thelasini kwenye nyanja tofauti tofauti bongo iliyofanyika 2015-2020,wao wameweka maneno eti wanakwambia wana facts (Google) nimewadharau sana . Ubishani wa mambo kama haya ya ukuaji wa uchumi sio maandishi wazee ni kwa ground tu,itoshe kusema nowdays Kenyans tumewapiga karibu Kila kitu, Tony254 wewe ni muungwana sana kwenye ukweli najua unasema,watu wa aina yako ndio napenda kujibizana nao
Nawaumbua na facts kila kona kahuna porojo na hamna pakutokea , sorry had to bust your bubble., pakutokea hamuna, tulia tu na upweke😂😂
kindly endelea na mapicha na youtube clips., ulikua unanitumbuiza asubuhi..,
 
Have been following this thread for the past 5yrs and I can say it used to be very informative on infrastructure development matters on both countries. All i can say is kudos👍to the EAC region👏👏. Despite that nowadays this thread is becoming so boring with dick measuring contexts topics whereby both Patriots wa KE🇰🇪 & Tz🇹🇿 end up with misleading information to the masses. I believe when Annael started this thread it was to showcase the uniqueness & positivities of our beautiful cities not the ugly toxic topics zenye huwa zimejaa huku sikuizi. Kuna Baadhi ya watu huku mnaturudisha nyuma sana kwa kurushiana maneno mingi za upuzi. Uzi huu Penye umetoka ni mbali na unaelekea mbali zaidi. So please let's brothers have some decorum on how we exchange ideas.Kumbuka Kuna 1milion plus spectators always behind the keyboard ambao ufuatilia uzi despite them commenting. Mwisho ningempongeza sana Annael you must be proud where you are. Those are my two sentiments
 
Amkeni amkeni kumekuchaaa ukuu, the most poorest lower middle income country View attachment 1689112View attachment 1689113

Jamani majirani wanaangamia mwenyez mungu awafanyie wepesi 🙄🙄🙄
 
Bro Magu kaamua kuja na model ya kuunganisha fly over ni brt. Hata mikoani, sasa hivi miradi kama by pass na dual carriage roads zinaunganishwa na miradi mikubwa ya barabara ili pamoja na mambo mengine kurahisisha financing na masuala ya tendering.

Kwa mfano pale Mbeya mjini; miradi wa Uyole - Mbalizi bypass na njia nne za Uyole-Mbalizi zimeunganishwa na mradi wa Igawa-Tunduma. So unauwa kundi la ndege kwa jiwe moja.
Hiyo kujenga dual carriage kwa mbeya from Uyole to Mbaliz ndio nimekisikia wewe
 
Back
Top Bottom