Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna neno projection hapo. Kuna njia mbili za kucalculate population.
Ya kwanza ni census na hio ndio preferred maana sio estimate. Ya pili ni projection ambayo ni estimate. Kwa mfano tunajua kwamba Tanzania population yenu inakuwa kwa kiasi cha 2.97% kila mwaka basi tunaweza kutumia hii data kuproject population ya Tanzania miaka mitano ijayo. Kwa hivyo tunaweza kusema kwamba in 2026 Tanzania will have 72 million people. Lakini hii ni estimate tu maana hio 2.97% population growth rate ni estimate tu. Lakini hio mwaka wa 2026 tukifanya census (kuhesabu watu wote mmoja mmoja) halafu tubaini kwamba Tanzania ina 68 million people basi utaamini data gani? Ya census inayosema mpo 68 million au ya projection inayosema mko 72 million?
Achana naye huyo, anahalalisha mamake azae watoto kumi kisa yeye ni mnene lkn yule mwembamba akizaa wawili anakataa
Kweli mbweha ni mbweha tu
 
...through google, wengi hapa walio jifanya wamesafiri niliwaumbua, mijisifa ya uwongo peleka Chato kaka, njoo uungane na wenzako wana hustle deadly na kutuma hela Tz iwasaidie jamaa zao., Hampendi ukweli kabisaaa.,
baadhi ya wenzako wanajua,haulazimishwi kuamini......
 
Ukubwa wa mwili haumuhalilishi mtu kujizalia hovyo
Tokea 1960 mkenya wa kawaida anapiga watatu mtz anapiga saba, aisee noma sana..
Tena bado hamjahesabiwa tunasubiria census yenu mtafika 80m soon
Mko milioni 52.57 na udogo wote wa nchi yenu, sisi na ukubwa wetu tupo around 60mil
 
Hii vp hujawahi kuiona
tapatalk_1602338908414.jpg
 
Census ya serikali inasema Wakenya ni 48 million. Kitaalam, census ina nguvu kushinda data hizi za projection maana census sio projection. Census ni actual data maana watu wamehesabiwa mmoja mmoja hadi wakafikia 48 million. In fact ni vigumu sana mtu yeyote kupinga data ya census unless unajaribu kusema kwamba serikali ya Kenya inadanganya.
basi ya ghana nayo ni ya uwongo na zote zitakazotola hapo ni za uwongo.......

pia ya ghana ni uwongo


ndiyo maana tunawaambia tuwe tunaonyeshana real life kwa ground maana ndiyo kuna reslity

leo umenichekesha sana
 
Sisi tuna best educatiom system aliewadanganya nani au kwa hicho kiingereza chenyewe broken 🤣🤣🤣🤣 mtu akijua english kidogo basi msomi mafala sana nyie
Nyinyi hata toothpick mnaagiza kutoka nje mna elimu gani?
 
Km mamako alivyokua mnene akazalishwa watoto kumi na mbili
Hyo ndio average ya vitu vikubwa
Wamama wa tz average ni watoto kumi na mbili kisa nchi kubwa sisi kenya watatu kisa nchi ndogo...
Hku mamako akiwa mmoja wao na watoto kumi na mbili
Nimekuambia wacha haya matusi au na mm nianze matusi ya nguoni tutukanane si ndio?
 
Kwn mamako kuzaa watoto kumi ndio matusi, hyo si ni kweli wamama wa tz average ya watoto ni kumi kumi huku wakisingizia ukubwa
Bado unaendelea sio, hii ni mara ya mwisho nakuonya wacha hayo maneno kwakuwa mm sijawahi mgusa mama yako.
 
Back
Top Bottom