Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,856
- 22,191
Hiyo ilikuwa chambo tuu, kuna nukta nilitaka kuziunganisha.Sio kila Mkenya ni Mkikuyu.
Hiyo ilikuwa chambo tuu, kuna nukta nilitaka kuziunganisha.Sio kila Mkenya ni Mkikuyu.
meona enhee... Tony254 anachuki na Wakikuyu! watawala wa Kenya!Hiyo ilikuwa chambo tuu, kuna nukta nilitaka kuziunganisha.
Najua ulisoma jinsi nilimkaripia mzee Moi ukadhani kwamba nimefanya hivyo kwa sababu ya ukabila. Hata Wakalenjin wa kabila lake wanakubali kwamba huyo mzee aliharibu uchumi wa Kenya.Hiyo ilikuwa chambo tuu, kuna nukta nilitaka kuziunganisha.
Sina chuki na kabila. Sipendi Moi kwa sababu ya jinsi alivyoharibu uchumi wa Kenya. Mimi sina chuki na kabila lolote. Hata hamjui kabila langu sasa utasemaje kwamba nachukia kabila fulani? Huenda nikawa Mkikuyu au huenda nikakosa kuwa Mkikuyu. Utajuaje kabila langu? Huwezi kujua unless nikuambie kabila langu.meona enhee... Tony254 anachuki na Wakikuyu! watawala wa Kenya!
unaitwa Kuria halafu tusijue kabila lako? Unatuonaje? BTW mbona unakataa lugha ya Taifa, Gikuyu?Sina chuki na kabila. Sipendi Moi kwa sababu ya jinsi alivyoharibu uchumi wa Kenya. Mimi sina chuki na kabila lolote. Hata hamjui kabila langu sasa utasemaje kwamba nachukia kabila fulani? Huenda nikawa Mkikuyu au huenda nikakosa kuwa Mkikuyu. Utajuaje kabila langu? Huwezi kujua unless nikuambie kabila langu.
Kwahyo milioni 10 mbele na udogo wa nchi yenu kwetu we unaonaje? Ni sawa? Yn nchi inaingia mara mbili na bado tumewazd watu milioni 6 pekee, watu kweli mnapigangana mbupuEti mtz naye anaongelea kuhusu kuzaliana
Mtu ndani ya miaka 50 tulikua sawa lkn sai ana watu zaidi ya milion kumi mbele na bado wanaendelea tu![]()





Hii si umeweka mwenyewe hii auuHio ya Kenya kuwa 52 million umeitoa wapi?


Hehehehee anakupa sindano na zinakuingia kweli kweli, ulikuwa huijui Tz vzr weweSamaboy alitoka wapi?reasoning uchwara sana!.,








Census ya serikali inasema Wakenya ni 48 million. Kitaalam, census ina nguvu kushinda data hizi za projection maana census sio projection. Census ni actual data maana watu wamehesabiwa mmoja mmoja hadi wakafikia 48 million. In fact ni vigumu sana mtu yeyote kupinga data ya census unless unajaribu kusema kwamba serikali ya Kenya inadanganya.
Nchi hii mambo ni mengi kaka, hawa Wakenya tuna debate nao km kuwapa moyo tu lkn in reality tumewaacha mbali sn.Huu mradi nilikuwa siujui!
kimbelembele umetoa wapi? Where have u been?., Kwetu hatuna hivyo vitu., Unataka nitoe wapi?.keep on entertaining me, nimeketi watching as I sip my black coffee,
nashangaa tu
balaa!
![]()
Havipo Kenya endelea na show...
Samaboy umepea shida hii nuguHaviko bro, Kenya bado sana, wewe umeweza na kubobea humu.,endelea sisi ni macho na kushangaa tu
hadi raha., expose all...,



Kwahiyo ya Ghana unaikubali ila ya Kenya unaikataa, hv kwa wingi mlionao bado unadhani mpo mil 48?Census ya serikali inasema Wakenya ni 48 million. Kitaalam, census ina nguvu kushinda data hizi za projection maana census sio projection. Census ni actual data maana watu wamehesabiwa mmoja mmoja hadi wakafikia 48 million. In fact ni vigumu sana mtu yeyote kupinga data ya census unless unajaribu kusema kwamba serikali ya Kenya inadanganya.








Sisi tulikuwa 10 million na nyinyi mlikuwa 11 million wakati tunapata uhuru. Lakini baada ya miaka 50 nyinyi mumetuzidi na zaidi ya watu 10 million. Sasa ni watu gani wanapigana kuni sana?Kwahyo milioni 10 mbele na udogo wa nchi yenu kwetu we unaonaje? Ni sawa? Yn nchi inaingia mara mbili na bado tumewazd watu milioni 6 pekee, watu kweli mnapigangana mbupu![]()
Sina census data ya Ghana so nimetumia hii projection. Census ndio actual data na hio sina. Kama ningekuwa na census data ya Ghana basi singetumia hio projection.Kwahiyo ya Ghana unaikubali ila ya Kenya unaikataa, hv kwa wingi mlionao bado unadhani mpo mil 48?![]()
Tanzania ni kubwa karibu mara mbili ya Kenya nilitegemea tuwazidi watu zaidi ya mil 30 yn tukiwa mil 60 nyinyi muwe mil 30 lkn wapi, Tz ni mil 60 while Kenya ni mil 52.57 wht a joke!! Mnapigana mbupu kinoma yn, mnazaana sana wallahiSisi tulikuwa 10 million na nyinyi mlikuwa 11 million wakati tunapata uhuru. Lakini baada ya miaka 50 nyinyi mumetuzidi na zaidi ya watu 10 million. Sasa ni watu gani wanapigana kuni sana?



By the way Uganda nao wako karibu kutupita. Wao juzi juzi tu walikuwa 30 million, sasa hivi wako 43 million ilhali Kenya tuko 48 million. Wameziba gap kishenzi. Uganda wanalimana kitandani bila mchezo. Kumbuka kanchi kao ni nusu ya Kenya na robo ya Tanzania na tayari wametufikia kwenye idadi ya watu. Waafrika kupunguze kupigana pumbu kiasi hiki.Kwahiyo ya Ghana unaikubali ila ya Kenya unaikataa, hv kwa wingi mlionao bado unadhani mpo mil 48?![]()
Ndio mmeuanzisha huo utaratibu ninyi?



