. Upanuzi wa bandari ya Mtwara Yosef Festo kaa tuli kwanza
Nikipeana ndama pia lazma nitumie bendera? 😀😀
What is it Samaboy? TZ iko wazi peupe! Weka economic output ya hizo vitu unatajataja tuone. The best Wakikwambia tumelala we wajibu sanaa Tena .uongezaji wa kina Cha maji bandari ya TA Yosef Festo huijui bongeo,uwe na utaratibu wa kukaa kimya kitu Kama hujui hizo mambo zote zimefanyika in just five years

ports zote..., ama ni white elephants kaka.., blind petriotism inakusumbua, you love Tz with a dying zeal, nothing wrong with that, unfortunately it is clouding your judgement, wewe uko na "mama yangu ndio mpishi bora dunia yote" mentality ('my mother is the only best cook' mentality)


Kwa mtu wa kawaida sio lazima lakini huyu ni mwanasiasa na lazima ajitangaze. Akipatia watu paketi ya chumvi ya shilingi kumi basi atatangazia kila mtu ili dunia ijue. Waelewe tu wanasiasa walivyo wajinga. Wanapenda show off..Nikipeana ndama pia lazma nitumie bendera? 😀😀
. Dar port 1500 cars off loaded vs Mombasa port 1350 cars off loaded . Tony254 inakuaje hii au wenzetu huwa mnapika data.? au mpo na matumizi maruri ya adjective .? Eti The best 007 😂😂 ichoboy01 sema nao
. Usiyoyajua kuhusu DAR PORT is it the best in EA.?



kweli nimeona
bro wake up from your dream and face reality...Samaboy alitoka wapi?Tunaangalia idadi ya magari yaliyopakuliwa kwa kipindi cha mwaka moja sio kwa kipindi cha siku moja.



reasoning uchwara sana!.,. Geza Ulole hiv unajua kenyans hawajuagi kwamba sio tu kwa ndege hata kwa meli watalii wanatua hapa .? . Utalii wetu pamoja na uchumi wetu unakua bhana
Unalialia nini na kuni quote kijana?Tuhamia Kigoma uko . Hii apa Ni bandari kubwa Zaid ziwa tanganyika muanekano wa maboresho yake Yosef Festo kaa mkao wa kula

fanya utafiti mwafaka., your skewed perception isikudanganye bro.,😂😂 Kwani siku si ndio huzaa wiki,mwezi then mwaka.? Au .yaani Ni hiv mwaka mmoja unakua na siku 365,majuma 52 na miezi 12. 😄😄Tunaangalia idadi ya magari yaliyopakuliwa kwa kipindi cha mwaka moja sio kwa kipindi cha siku moja.
Mimi sio tamaduni zangu kuongea sana. Show me pictures or videos coz kuona ni kuamini ka mkubwa,bla bla me situmiiUnalialia nini na kuni quote kijana?fanya utafiti mwafaka., your skewed perception isikudanganye bro.,