We critic everything here, sio nyie mnadanganywa na kupiga makofi. Hiyo SGR wakenya wengi hawakuitaka hadi waleo ndio maana utapata wanaiponda sana!
Lakini kutotosheka ni tabia ya Africa, wa Morocco niliona documentary kwa Aljazeera, hawataki hiyo speed train yao, wanaona eti ni white elephant and it was not necessary na ni expensive kwa raiya wa kawaida, Nigeria wanalia eti walioshwa tafuta video YouTube, wanasifu ya Kenya na Kenya wanasifu Ethiopia, Ethiopia walichoka na yao ya kukwama kwama juu ya unstable umeme, wako tu proud na commuter train. , So sishangai mimi., Nangoja yenyu an already white elephant before it starts!