Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Just do analysis ya their economic output kwa maakini.,airport pekee sio GDP, kuna several factors brathe., Wacha blind patriotism, it is clouding your judgement., Wivu kisa Ghana iko juu yenyu sasa ni GDP ya kwenye makaratasi ., Basi wako na more modern stadiums kuwashinda, if u want to use such reasoning to argue, kindly style up man

Mi sibishani na Mjinga anaye ishi kwenye nyumba za madebe kama Njiwa.

Mi nimetembea sana kwenye nchi hizi za Africa na nazijua vyema. Wewe Jidanganye tu.

Kwa ujinga wako na Wakenya wengine, mnadhani Nigeria iko Juu ya Kenya wakati sio kweli. Kwa ground Kenya ni kama net Tork kwa Nigeria. In case kama hujui, ncnhi za central na west ndio za hovyo Africa.
 
Tuna phase tatu ziko under construction SGR kwa sasa
nyinyi SGR loan ya mchina imeishia wwapi??? Machakani au ? Si ndio hio mpaka leo muna run loss huku mchina anasubiri mulipe deni lake sahivi munaita white elephant
We critic everything here, sio nyie mnadanganywa na kupiga makofi. Hiyo SGR wakenya wengi hawakuitaka hadi waleo ndio maana utapata wanaiponda sana!

Lakini kutotosheka ni tabia ya Africa, wa Morocco niliona documentary kwa Aljazeera, hawataki hiyo speed train yao, wanaona eti ni white elephant and it was not necessary na ni expensive kwa raiya wa kawaida, Nigeria wanalia eti walioshwa tafuta video YouTube, wanasifu ya Kenya na Kenya wanasifu Ethiopia, Ethiopia walichoka na yao ya kukwama kwama juu ya unstable umeme, wako tu proud na commuter train. , So sishangai mimi., Nangoja yenyu an already white elephant before it starts!
 
E33ED22D-701F-45EC-91F5-B46BDDE55D6D.jpeg
 
Mi sibishani na Mjinga anaye ishi kwenye nyumba za madebe kama Njiwa.

Mi nimetembea sana kwenye nchi hizi za Africa na nazijua vyema. Wewe Jidanganye tu.

Kwa ujinga wako na Wakenya wengine, mnadhani Nigeria iko Juu ya Kenya wakati sio kweli. Kwa ground Kenya ni kama net Tork kwa Nigeria. In case kama hujui, ncnhi za central na west ndio za hovyo Africa.
Sasa ona, umetoka kwa Ghana uko Nigeria kulikoni? Nigeria is one with Tz in principle but different in conduct, GDP in these two nations count for nothing juu ya big population with poverty yenye iko high levels.., Tz approx. 60Mln GDP $64B+, Nigeria 200Mln GDP 400B+, poverty levels juu, Nigeria corruption Tz propaganda, hidden corruption.
 
Kusema ukweli Kikwete uchumi wake ulikuwa unapaa juu unafikia 6% na 7% ila hakuna maendeleo kwenye ground. Nadhani ni kwa vile alikuwa marafiki na mabeberu. Kwa hivyo Imf na WB walikuwa wanakubaliana na data yoyote inayotolewa na serikali yake. Magufuli naye akitoa data 7% Imf wanapunguza hadi 4% maana hawampendi lakini kuna maendeleo ya kufa mtu kwenye ground.

aliitwa ikulu na kuamriwa aseme stats za ukweli, ndo zkatoka stats mpya
 
We critic everything here, sio nyie mnadanganywa na kupiga makofi. Hiyo SGR wakenya wengi hawakuitaka hadi waleo ndio maana utapata wanaiponda sana!

Lakini kutotosheka ni tabia ya Africa, wa Morocco niliona documentary kwa Aljazeera, hawataki hiyo speed train yao, wanaona eti ni white elephant and it was not necessary na ni expensive kwa raiya wa kawaida, Nigeria wanalia eti walioshwa tafuta video YouTube, wanasifu ya Kenya na Kenya wanasifu Ethiopia, Ethiopia walichoka na yao ya kukwama kwama juu ya unstable umeme, wako tu proud na commuter train. , So sishangai mimi., Nangoja yenyu an already white elephant before it starts!
Hahahaha, eti wakenya hawakuitaka SGR, you're mentally sick

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Which economic system wakat leo tunaambiwa uchumi wa kenya unapumulia kende kutokana na madeni yakipuuzi?? Hvi nchi gani duniani siasa zinaanza 2yrs before election ulishawah kuiona hio nchi 😄😄 hvi utasema muna system gani ya maana ushuzi wa bata, maendeleo gani munafanya wakat unemployment rate iko three times of tanzania and uganda ????

Umetoa povu nzito ya Omo. Tulia mzee.
 
GDP yenu inakinzana na maisha halisi ya mkenya....

the trueth ground maisha yenu ni hovyo,,,,
A good question, GDP yetu inatupa fursa wale wenye kujituma kufaulu, Kuna fursa mingi mno, ukienda Mombasa unaeza jijenga if u know how to hustle, sio lazima uandikwe kazi, ukija Nairobi it is competitive with opportunities to make money, ndio maana watanzania wenzako wanatembeza nguo na kufanya biashara kadhaa from salons to boda boda riders, Eldoret to me is the best, u can hustle and make it easily coz circulation ya pesa iko 24/7 in that town, Thika, Kiambu county is an industrial town, very competitive pia it is kikuyu dominated (unajua sifa zao), Naks Vegas(Nakuru) ndio hata usiseme, it is on "heat" kwa sasa. kisumu na Kakamega zimechangamka deadly, poverty is an individual thing. Hata pale kwenu usipojituma ata Magufuli ajenge SGR nchi yote utabaki fukara.
 
Back
Top Bottom