Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Spidi ya hawa Wachina iko juu kwa sababu wanatumia pesa yao kujenga. Sababu ya pili ni kwamba wanaiharakisha ili waanze kurudisha pesa yao harakaSpidi Yao ya ujenzi si ya kawaida! Kwa spidi hii mwezi mmoja tu wangejenga Uhasibu flyover na Chang'ombe flyover ambazo nazo zinajengwa na wachina ila wako so slow!
Cc tuusan

