Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sisi around 30% of our electricity is produced from hydropower lakini hydropower plants zetu zilijengwa zamani in the 1960s , 1970s na early 1980s. Lakini baada ya Kenya kugundua geothermal power in the late 1970s na Japan kusaidia Kenya kutap hii power source basi Kenya haijawahi kujenga nyingine kutoka 1980s hadi sasa. Tunaelekea miaka arubaini bila kujenga hydropower dam kubwa.
Naamisha Maji ya Matumizi ya Nyumbani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi around 30% of our electricity is produced from hydropower lakini hydropower plants zetu zilijengwa zamani in the 1960s , 1970s na early 1980s. Lakini baada ya Kenya kugundua geothermal power in the late 1970s na Japan kusaidia Kenya kutap hii power source basi Kenya haijawahi kujenga nyingine kutoka 1980s hadi sasa. Tunaelekea miaka arubaini bila kujenga hydropower dam kubwa.
Umejibu swali tofauti na uliloulizwa. Umeulizwa je, huwa mnakunywa tope!?
 
. Tony254 nakuheshimu sana bro na najua licha tu ya kubishana nasi lakin pia unatamani kujifunza yaliyopo bongo,tazama hii vid utakua na mengi ya kujifunza humu. My fellow tanzanians msiache kuangalia hii,tujue umeme wa maji unachangia MW ngapi kwenye gridi ya taifa
Hii kitu italeta mapinduzi ya ukweli...hapa wawekezaji watatukimbilia wenyewe
 
Phase 3 wampe mu austria strabag aliyejenga phase 1

Ikiwezekana watangaze hata mbili kwa mpigo phase 4 nayo ianze

Waboreshe huduma za phase 1 pia kwa kuongeza magari na kurudisha system ya card
Strabag na huyu mchina ni mbingu na ardhi. Hawa wachina wanaungaunga balaa.
 
Nani alikuambia kwamba wao sio kabila? Njoo Kenya uwaone.
Kwa Kenya kila kitu kinawezekana japokuwa Kiswahili kimetokana na muingiliano wa kibiashara kati ya Waarabu na Wabantu wa coast, hawa jamaa wamepewa kabila kule kenya! usishangae babu yaani ni kama siye tuamue Wazaramo, Wakwere, Wangazija wawe na kabila la Waswahili!
 
Mwenzako kikihboy ameuliza swali kwa roho safi lakini wewe badala ya kumjibu unaanza kumkejeli. Kitu usichokijua ni kwamba Wakenya wengi sana hawajui lolote kuhusu Tanzania licha ya sisi kuwa majirani. Kwa hivyo hapa sote tumekuja kujifunza jambo kuhusu jirani yetu.
Hata sisi pia hatujui mengi kuhusu nchi zingine, tumejikita na mambo yetu tu, hizi choko choko unazoziona mlianza nyie baada ya kuanza kufatilia maisha yetu na ndiyo maana ukafunguliwa huu uzi, soma maneno ya mwanzo kabisa aliyoanza kuandika Annael ambaye ndiye mfungua huu uzi utaelewa kwmb nyie ndiyo mliotaka hii battle.
 
Sisi tumejikita kwenye umeme wa maji na gesi.

Magu haamini katika gas.. katika utawala wake hautasikia eti kuna powerplant nyingine ya Gas itajengwa! katika utawala wake power plant za maji tu ndo zitajengwa... labda wawekezaji ndo wajenge hizo gas power plant na sio serikali chini ya Magu
 
Nani alikuambia kwamba wao sio kabila? Njoo Kenya uwaone.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaah!!!!! huu niujinga wa hali ya juu unajihaibisha chief

ila twende taratibu
neno mswahili linatokana na nini.....?
 
Back
Top Bottom