komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Nje dar kina kitu kinaitwa dunia, hilo lazima ulijueMbona una hasira mungiki?!..
We kubali tu hamna brt nairobi,utakuwa huru.
Hasira haziwezi kuleta brt hapo naislum..
Nje dar kina kitu kinaitwa dunia, hilo lazima ulijueMbona una hasira mungiki?!..
We kubali tu hamna brt nairobi,utakuwa huru.
Hasira haziwezi kuleta brt hapo naislum..
Na usisahau population ya ethiopia ni almost 100m 🤣🤣🤣reli yetu imechapa kazi kwa mda bila matatizo kama reli ya Ethiopia - Djibouti ambayo iko electrified.....Ikumbukwe Ethiopia wanazalisha umeme mwingi kuliko nchi yeyote ukanda huu.Only time will tell between kenya na Tanzania nani amekurupuka
Na bado loss ipo pale pale 🤣🤣🤣 sijui deni la mchina mtalipajeSisi tunapiga 12 trains za mizigo per day. Wacha tuone hawa Malazy kama watafikisha hata sita per day.
Madaraja na brt sio utajiri wala u-superiorSo much excuses..kwa hiyo brt si development ati kwa sababu naislums haiko!!!!...
Jamani oneni onyango ilivyomiksiwa
Tuusan tusidanganyane tunaijua tanzaniaUmeme wetu upo stable
Na usisahau ethiopia walionganishwa sio wengi kati ya haoNa usisahau population ya ethiopia ni almost 100m![]()
Aliyeelewa hiyo sentensi hapo juu anifafanulie tafadhali..👆👆Nje dar kina kitu kinaitwa dunia, hilo lazima ulijue
em pata picha ndo unapanda e,sgr kwe station '5Lazima ifuate nyayo ya mwenzake ethiopia djibout tu
Yani mumeskia kenya wana sgr na nyie mna force, kuna watu kulala porini

' af speed 160kph 


Ndio sasa ujue bado wanasafari ndefu kuhakikisha watu million 100 wanapata umeme😁😁😁Na usisahau ethiopia walionganishwa sio wengi kati ya hao
Tusidanganye jamani, tz bado umeme ni wa mgao..Umeme wetu upo stable
Nje ya dar kuna kitu kinaitwa duniaAliyeelewa hiyo sentensi hapo juu anifafanulie tafadhali..![]()



Kuna watu kulala vichakani amini hili ninalokwambia..em pata picha ndo unapanda e,sgr kwe station '5' af speed 160kph
View attachment 1682613View attachment 1682614View attachment 1682615
Kuna kulala porini wajuba, jiandaeni kisaikolojiaNdio sasa ujue bado wanasafari ndefu kuhakikisha watu million 100 wanapata umeme![]()
Ww unawivu tu huna lolote 🤣🤣🤣 maneno ya mtu aliekata tamaaKuna kulala porini wajuba, jiandaeni kisaikolojia
Na wakiendelea kuzingua tutawanyoosha kwa viboko hawa ni wadogo zetu.Sikio halizidi kichwa.Wakenya bhana. Tunawanyoosha kwa pasi ya mkaa.
Bali ni developments..si ndiyo??!!..hivyo vitu kujenga sio poa,kama ni failed state huwezi kujenga infrastracture kama hizo,uliza uhuru akwambie...Madaraja na brt sio utajiri wala u-superior
Eeh duniani hizo bridge na brt huwa zinaitwa first world infrastracture,yaani maana yake ni kwamba kenyatta kujenga hizo aende ulaya na asia kuomba loan,au atokee mchina awajengee kwa pppNje ya dar kuna kitu kinaitwa dunia
Watakaje tena